Ushauri kwa wanaume juu ya mwanamke wa kufanya naye maisha

Ushauri kwa wanaume juu ya mwanamke wa kufanya naye maisha

Kama unajua unawivu usioe nwanamke mzuri..
Hapa bibie naona umehalalisha ujinga kwa Wanawake wazuri. Kauli yako haijatimia mwanamke mzuri ambaye hans tabia nzuri na hajielewi hafai, kadhalika mwanamke mwenye tabia mbaya naye hafai kuolewa.

Sisi tumehimizwa tuoe katika wanawake ambao tuna wapenda, ils tunasngalia tabia, wengine sisi tunapenda vizuri sana ila vyenye tabia nzuri.
 
KILA mwanaume uoa mwanamke anaefaa sema wakishaingia kwenye ndoa ubadilika,
 
Lengo kuu la tamthilia zote za mapenzi ni kubomoa ndoa ziwe za kiswahili, kiingereza, kikorea, au lugha yoyote za Nigeria, Tanzania, Korea, Ulaya,nk maudhui ufanana, nyuma ya tamthilia zote yupo darksider kama alivyo kwenye katuni ajenda kuu ni kuhakikisha mwanamke asiwe na utii, heshima,maadili ya ndoa Ili familia isambaratike walengwa wakuu ni watoto Ili wakose malezi ya pande mbili Ili waharibike kimaadili.
 
Kuna watu bado huwa wanafkiria kuoa tu kizazi hiki. Ndoa za kudumu miezi tu.
Poleni sana.
 
Mwanaume kuwa makini zaidi wakati wa kuchagua mwanamke wa kuoa/ kuishi nae.

Tuko katika kizazi ambacho:

1. Wanawake hawakubali makosa yao,mara nying hulaumu juu jinsi wanavyotendewa na wanaume lakini hakuna atakayekubali kumlaumu mwanamke kwa utovu wa nidhamu kwa mwanaume.

2.Ni kizazi ambacho wanawake huathiriwa kwa urahisi na kile kinachotumwa kwenye mitandao ya kijamii.

3.Ni kizazi ambacho wanawake wanasikilizwa zaidi kuliko wanaume,taasisi za kuwatetea ni nyingi. (Kutoka namba 1).

4.Wanaume waliooa kuwa waangalifu.Leo hii nyumba nyingi za kulala wageni zimejaa wanawake walioolewa au wenye wapenzi wanaoishi nao. Wanawake walio kwenye ndoa wanaunda makundi ya whatsap (utasikia kungwi fulani kujiunga 3,000) ili tu kuongelea wapenzi wao na jinsi ya kuwaburudisha.

5.Wakiwa na vyanzo vya uhakika vya mapato wengi wao wanajiita Supa wumeni,waanza kutowaheshimu waume zao. Mara nyingi huona raha kuongea vibaya kuhusu ndoa wanapokuwa na marafiki.

Kijana kuwa mwangalifu unapochagua mke/mwanamke wa kuishi nae.

1.Fanya utafiti uone jinsi mama na dada zake wanavyo behave.

2.Angalia jinsi baba yake anavyotendewa na mama yake kama bado yu hai.

3.Angalia tabia za rafiki zake.

Fanya angalau ujue mtu unayetaka kumfanya mke/kuishi nae ni mtu mzima kiasi gani, yuko serious na mwenye mpangilio.

Inaishia hapa.
 
Basi sasa kila mmoja kageuka mshauri nasaha, hakuna jipya acheni kutishana.
 
Hapo kwenye namba 1,Kuna point ingawa asiye na ufahamu zaidi anahitaji maelezo ya ziada,kifupi ni kuwa mama na dada zake ni picha tosha ya mkeo jinsi atakavyokuwa,ingawa mara chache sana hutokea akawa tofauti nao...
Kwa nadra saaaaana.
 
Tuko katika kizazi ambacho:

1. Wanawake hawakubali makosa yao,mara nying hulaumu juu jinsi wanavyotendewa na wanaume lakini hakuna atakayekubali kumlaumu mwanamke kwa utovu wa nidhamu kwa mwanaume.

2. Ni kizazi ambacho wanawake huathiriwa kwa urahisi na kile kinachotumwa kwenye mitandao ya kijamii.

3. Ni kizazi ambacho wanawake wanasikilizwa zaidi kuliko wanaume,taasisi za kuwatetea ni nyingi. (Kutoka namba 1).

4. Wanaume waliooa kuwa waangalifu.Leo hii nyumba nyingi za kulala wageni zimejaa wanawake walioolewa au wenye wapenzi wanaoishi nao. Wanawake walio kwenye ndoa wanaunda makundi ya whatsap (utasikia kungwi fulani kujiunga 3,000) ili tu kuongelea wapenzi wao na jinsi ya kuwaburudisha.

5. Wakiwa na vyanzo vya uhakika vya mapato wengi wao wanajiita Supa wumeni,waanza kutowaheshimu waume zao. Mara nyingi huona raha kuongea vibaya kuhusu ndoa wanapokuwa na marafiki.
Feminism did this, only feminism can fix it.
 
Back
Top Bottom