Ushauri kwa wanaume wenzangu

Ushauri kwa wanaume wenzangu

Majighu2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
2,937
Reaction score
3,959
Tunatakiwa kutambua kuwa viumbe KE hata wafanyiwe kitu gani hawaridhiki.

Jambo la kufanya ni ku-focus na maisha yako, jipende, kula bata, jali watoto wako (kama unao).

Wanaume tunakufa mapema kutokana na stress za wake zetu, kelele nyingi, kuchapiwa n.k Ili tuishi maisha marefu tu-focus na maisha yetu kwanza. Wengine watasema ni ubinafsi lakini hakuna kiumbe kibinafsi kama mwanamke.

Kama ni mbususu zipo za kumwaga na bei chee, piga shoo, stress weka pembeni, songesha maisha.

Mtakaonielewa see you at 100 yrs.
 
Tunatakiwa kutambua kuwa viumbe KE hata wafanyiwe kitu gani hawaridhiki.

Jambo la kufanya ni ku-focus na maisha yako, jipende, kula bata, jali watoto wako (kama unao).

Wanaume tunakufa mapema kutokana na stress za wake zetu, kelele nyingi, kuchapiwa n.k Ili tuishi maisha marefu tu-focus na maisha yetu kwanza. Wengine watasema ni ubinafsi lakini hakuna kiumbe kibinafsi kama mwanamke.

Kama ni mbususu zipo za kumwaga na bei chee, piga shoo weka pembeni stress tupa kula maisha yanasonga.

Mtakaonielewa see you at 100 yrs.
Kula bata huko ujue kunahusisha wanawake maana bata gani lina noga bila warembo
 
[emoji848]
Em4oZChXIAA2296.jpg
 
Mkuu soma tena ujumbe kwa mara nyongine. Kwenye kula bata, kamata hao warembo kula nao bata, furahia maisha. Cha msingi wasikupe stress.
Stress ya wanawake tunapata sie tusio na hela.
Mwenye hela akipata stress kisa mwanamke huyo kajitakia
 
Stress ya wanawake tunapata sie tusio na hela.
Mwenye hela akipata stress kisa mwanamke huyo kajitakia
Hata kama huna hela hutakiwi kupata stress. Mbususu hata za buku zipo, ukimuweka mke ndani na hela huna hapo ndo stress zinapoanzia sasa.
 
Haya mambo msiumize kichwa, kama kina Samson, Suleiman, Daudi na babu yao Adam wote walifanywa vibaya na wanawake na hawana hamu itakuwa mimi na wewe mkuu?

Samson ndiye alikufa kijingaa, wallah hata mimi usingenikamata kishamba kiasi kile, jamaa na nguvu zake zaidi ya simba alikamatwa kama ndege.

Relax mzee.
 
Haya mambo msiumize kichwa, kama kina Samson, Suleiman, Daudi na babu yao Adam wote walifanywa vibaya na wanawake na hawana hamu itakuwa mimi na wewe mkuu?

Samson ndiye alikufa kijingaa, wallah hata mimi usingenikamata kishamba kiasi kile, jamaa na nguvu zake zaidi ya simba alikamatwa kama ndege.

Relax mzee.
Nimerelax sana tu mkuu. Ila nimeona nitoe ushauri kwa vidume wenzangu tusife kizembe kama akina Samson.
 
Hata kama huna hela hutakiwi kupata stress. Mbususu hata za buku zipo, ukimuweka mke ndani na hela huna hapo ndo stress zinapoanzia sasa.
Mimi nipo hapa kijichi getway annex pub.. kuna demu mmoja kajisogeza nimemwambia straight "nataka kukutomber usiku huu" kakubali hapa nikishakunywa bia zangu naenda nae lodge akileta mambo mengi naondoka na demu mwingine nampelekea moto usiku kucha ikifika asubuhi hatujuani shida iko wapi? Wanawake wote wananunulika its just a matter of acceptable price.
 
Bottom line kila mwanaume anataka kojolea pazuri sema tatizo lack of capital🤣🤣🤣🤣
Ni kweli mkuu, hapo inabidi kupambania mshiko, ukiupata unatafuta sehemu nzuri ya kukojolea. Ingawa hata ukiwa unakojolea sehemu nzuri akili yako isilale otherwisw utakufa kizembe😀😀
 
Mimi nipo hapa kijichi getway annex pub.. kuna demu mmoja kajisogeza nimemwambia straight "nataka kukutomber usiku huu" kakubali hapa nikishakunywa bia zangu naenda nae lodge akileta mambo mengi naondoka na demu mwingine nampelekea moto usiku kucha ikifika asubuhi hatujuani shida iko wapi? Wanawake wote wananunulika its just a matter of acceptable price.
Well said chief. Kula bia, kula mbususu unayoitaka maisha yanasonga. Usije ukajichanganya ukasahau rough rider mkuu. 😀
 
Mimi nipo hapa kijichi getway annex pub.. kuna demu mmoja kajisogeza nimemwambia straight "nataka kukutomber usiku huu" kakubali hapa nikishakunywa bia zangu naenda nae lodge akileta mambo mengi naondoka na demu mwingine nampelekea moto usiku kucha ikifika asubuhi hatujuani shida iko wapi? Wanawake wote wananunulika its just a matter of acceptable price.
Kumbe wamepewa na MUNGU waje kutuuzia🤔
 
Back
Top Bottom