Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kutokana na kuwa jengo kwa ujumla lipo katika hali ya hatari sana, hasa kutokana na uwezekano wa kuweza kuporomoka na kuleta maafa, Nawashauri waje nje kwenye mlango mkuu wa jengo, wachimbe Tundu la mraba kushuka chini, katika urefu wa mita 6-7, halafu waanze kwenda mbele usawa wa lango kuu kuingia ndani ya jengo, huku wakitumia mashine za kutobolea zege, na vifaa vyenye msaada ili waweze kufikia kwenye corridor za chumba hadi chumba, unless muda unavyozidi kwenda......@#$&$#@%
MUNGU ATUSIMAMIE
MUNGU ATUSIMAMIE