USHAURI KWA WASAFI: Hii Idea Mnaionaje?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mkuu tuliza wenge
Relax maana sio kwa chuki hizo
 
Kama ni mwanamke sawa ila kama ni mwanaume ebu kajichungulie vizuri haiwezekani unalalamika hivyo kama una mimba changa
 
Mzee wa kuchonga kinyago hatokubali hii idea ya non-profit, yeye anataka kuwanyonya tu wasanii mpaka watoke ngozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…