Ushauri kwa wasanii na wote mliojaliwa mali

Ushauri kwa wasanii na wote mliojaliwa mali

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Wasanii wabongo wasipofungua akili wataishia kwenda mahakamani kuvunja ndoa nakugawa riziki kidogo waliyojaaliwa

Nimemwona Ben Pol, nakumbuka kisa Cha Kiba, Hawa ni baadhi ya watu walioa kabla yakufungua macho kuona Nini Tafsiri ya ndoa

Naomba wasanii msikurupuke kuoa, wanawake wanawaza mlichonacho kwa maana umaarufu na Mali si mapenzi. Kibaya zaidi mnakimbilia kucheza mechi zakimataifa ambazo mnapigwa home and away. Wanawake wa nchi jirani msidhani niwamchezo mchezo, wanatambua wizi wakisheria. Tunawaonea huruma
 
Mlugulu mwenzetu Vero, ashobokei kugawana Mali, kwanza stamina kuwa na Mali bado, nyumba yenyewe ya kupanga labda wagawane sufuria.
DÀàh muwe wakweli stamina ni pedeshee ana nyumba 3 ...na gari 2 ...na ana duka la pamba classic
 
"Wanapigwa home and away"[emoji23][emoji23][emoji23]
 
dini yetu ya kiislamu inasema hivi: mzinifu ataoa mzinifu mwenzake au mzinifu mwanamke ataolewa na mzinifu mwanaume. sasa lini wazinifu wakaishi mda mrefu kwenye ndoa? pili pesa za haramu hata ukitajirika vipi matumizi yake yatakua ovyo na mwisho wa siku utarudi ulipokuwa
 
Back
Top Bottom