Mashabiki ndio wana vibe sijaona msanii anamlazimisha msanii kuimba Bali mashabiki wanakuwaga na vibe na feel na wimbo wa msanii mfano show ya Tabora diamond amemaliza tu kuimba wimbo wake wa kanyaga Mara mashabiki wakaanza kuimba ule wimbo wote je hapo utamlahumu msanii au mshabiki?Kuna vitu mtoa mada unatakiwa ujiongeze.Hivi karibuni kumeibuka tabia ya hawa wasanii kuwaimbisha watu waliotoa viingilio vyao kwenda kuwaangalia wakiperform kwenye stage.
Binafsi naiona hii tabia kama kero na dhuluma kwa mashabiki na zaidi ya yote inapoza show kabisa pale wanapokuwa wakikata sauti ya vyombo na kuanza kuwafundisha watu kuimba.
Mfano mzuri tembelea youtube uone Mbosso alivyoperform Muleba.
Tuwashauri wabadilike jamani. Au ninyi mnaonaje?
NB: Kwenye festival yao ya mwisho Nairobi, suala hili lilipondwa sana na mashabiki wa kule.
Je, ni kwanini hawataki kubadilika?
Tuambie huyo msanii mwenye pumzi ya kuimba live?Hawana pumzi za kuimba live hao!!...kama unaimba vizuri mashabiki hukaa kimya na kukusikiliza
Sawa lakini kuna kipindi unaona kabisa msanii akiwalazimisha mashabiki kuimba bila utayari wao. Na hapo unasemaje?Shida watu wanna vibe.. afu lazima msanii afanye ivo I'll kuona how his/her fans they feel him/her Au walivyo upokea wimbo husika.
Hueleweki[emoji37]
hiyo itakua kwaya ya msibani sasa,mashabiki hupenda kuimba na msanii hasa pale hisia zinapopanda.Hawana pumzi za kuimba live hao!!...kama unaimba vizuri mashabiki hukaa kimya na kukusikiliza
Chid benzTuambie huyo msanii mwenye pumzi ya kuimba live?
Mbona na yeye anaimbisha watuChid benz
On his prime was the best on the stage
Mutu ya Congo ile,,Sijaona msanii mwenye uwezo wa kuimba 'live' hapa nchini kama Christian Bella. Wengine wote waliobaki ni wababaishaji wakiwa kwenye 'stage'.
Jamaa akonga poa sana.Mutu ya Congo ile,,
Hapo umenena!!...Mutu ya Congo ile,,
Kweli kabisa. Waende waimbe. Kama kuwaimbisha iwe dakiki moja tu!Hivi karibuni kumeibuka tabia ya hawa wasanii kuwaimbisha watu waliotoa viingilio vyao kwenda kuwaangalia wakiperform kwenye stage.
Binafsi naiona hii tabia kama kero na dhuluma kwa mashabiki na zaidi ya yote inapoza show kabisa pale wanapokuwa wakikata sauti ya vyombo na kuanza kuwafundisha watu kuimba.
Mfano mzuri tembelea youtube uone Mbosso alivyoperform Muleba.
Tuwashauri wabadilike jamani. Au ninyi mnaonaje?
NB: Kwenye festival yao ya mwisho Nairobi, suala hili lilipondwa sana na mashabiki wa kule.
Je, ni kwanini hawataki kubadilika?