neophyte
Member
- Oct 21, 2018
- 79
- 22
Je, ngozi kavu ni nini?
Ngozi kavu ni ugonjwa unaotokana na ngozi kukosa unyevunyevu wake na kupelekea ngozi kuwa kavu. Tatizo hili lina visababishi vingi ila
kwa leo nitavizungumzia vichache.
VISABABISHI VYA NGOZI KAVU
1. Kukosekana kwa mlo kamili
2. Matumizi ya vipodozi vinavyo chubua ngozi
3. Matumizi ya kemikali zinazo kausha ngozi
4. Kutopaka mafuta
5. Kushinda juani kwa muda mrefu
6. Mwili kukosa maji
ATHARI ZA KUWA NA NGOZI KAVU
- Uwezekano mkubwa wa kupata magonjwa ya ngozi
- Kupata maumivu makali ya ngozi
- Kupata vidonda kwa urahisi na hata kupelekea kansa ya ngozi
- Kuzeeka haraka kabla ya wakati
- Kupata makunyanzi
- Ngozi kufubaa
- Ngozi kukosa mvuto.
MATIBABU NA KINGA
Kama hauna hili tatizo unahitaji kujikinga nalo. maelezo yafuatayo yanaainisha njia za kujikinga na ukavu wa ngozi.
1. Kutumia mafuta na sabuni mahsusi kwa ajili ya kuondoa ukavu wa ngozi pamoja na athari za kuchomwa na jua sabuni hii inaitwa OLIVE OIL SOAP REPAIR
2. Kunywa maji ya kutosha
3. Kupata mlo kamili
4. Kuufunika mwili pindi tuwapo juani
OLIVE OIL REPAIR SOAP
Kutumia sabuni hii ni bora na afadhali kwa kutibu na kukjikinga na tatizo hili. kwa kua hii sabuni ni sabuni ya asili na imetengenezwa kwa ajili ya ngozi kavu. inauzwa kwa tsh 9000 tu kuipata piga 0769103506
'kila mtu ana ngozi nzuri na yenye kuvutia boresha muonekano wako na OLIVE OIL REPAIR SOAP"
Ngozi kavu ni ugonjwa unaotokana na ngozi kukosa unyevunyevu wake na kupelekea ngozi kuwa kavu. Tatizo hili lina visababishi vingi ila
kwa leo nitavizungumzia vichache.
VISABABISHI VYA NGOZI KAVU
1. Kukosekana kwa mlo kamili
2. Matumizi ya vipodozi vinavyo chubua ngozi
3. Matumizi ya kemikali zinazo kausha ngozi
4. Kutopaka mafuta
5. Kushinda juani kwa muda mrefu
6. Mwili kukosa maji
ATHARI ZA KUWA NA NGOZI KAVU
- Uwezekano mkubwa wa kupata magonjwa ya ngozi
- Kupata maumivu makali ya ngozi
- Kupata vidonda kwa urahisi na hata kupelekea kansa ya ngozi
- Kuzeeka haraka kabla ya wakati
- Kupata makunyanzi
- Ngozi kufubaa
- Ngozi kukosa mvuto.
MATIBABU NA KINGA
Kama hauna hili tatizo unahitaji kujikinga nalo. maelezo yafuatayo yanaainisha njia za kujikinga na ukavu wa ngozi.
1. Kutumia mafuta na sabuni mahsusi kwa ajili ya kuondoa ukavu wa ngozi pamoja na athari za kuchomwa na jua sabuni hii inaitwa OLIVE OIL SOAP REPAIR
2. Kunywa maji ya kutosha
3. Kupata mlo kamili
4. Kuufunika mwili pindi tuwapo juani
OLIVE OIL REPAIR SOAP
Kutumia sabuni hii ni bora na afadhali kwa kutibu na kukjikinga na tatizo hili. kwa kua hii sabuni ni sabuni ya asili na imetengenezwa kwa ajili ya ngozi kavu. inauzwa kwa tsh 9000 tu kuipata piga 0769103506
'kila mtu ana ngozi nzuri na yenye kuvutia boresha muonekano wako na OLIVE OIL REPAIR SOAP"