Ushauri kwa Yanga

Satuuuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2015
Posts
1,849
Reaction score
1,993
Hivi karibuni tumeskia kuwa timu ya mpira wa miguu Yanga wameomba kutumia uwanja wa Amani Zanzibar. Wandugu mnaonaje tukiwashauri waombe kutumia uwanja wa Jamhuri Dodoma? Hasa ktk kipindi hiki ambapo shughuli za Selikari zinahamia Dodoma.

My take
Burudani ni sehemu ya maisha so waheshimiwa wanaitaji hii burudani kwa ukaribu zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…