Foxhunters
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 160
- 108
Wataalamu wa kilimo mnishauri,Nimelima nyanya Miche 5000 .Ina mwezi mmoja Toka nimeipanda mbegu nimetumia. Tomato mwanga.
Kuna changamoto imejitokeza majani kubadilika rangi .ngoja niambatanishe picha ,hali hii ilijitokeza baada ya kupilizia sumu aina ya power Cron, snow tiger ujazo wa 30mls/16litre.
Mborea ya kuyeyusha kwenye maji Master k. Vijiko vinne +dawa ya ukungu vijiko vinne. Yame athilika matuta manne kama Miche 160
Kuna changamoto imejitokeza majani kubadilika rangi .ngoja niambatanishe picha ,hali hii ilijitokeza baada ya kupilizia sumu aina ya power Cron, snow tiger ujazo wa 30mls/16litre.
Mborea ya kuyeyusha kwenye maji Master k. Vijiko vinne +dawa ya ukungu vijiko vinne. Yame athilika matuta manne kama Miche 160