Ushauri kwako Diamond

Ushauri kwako Diamond

Mnavyoandikaga utafikiri huwa wanasoma hizi nyuzi unakuta mtu yuko serious kabisa anaandika "Ushauri kwako mdogo wangu harmonize ukitaka chukua usipotaka acha"
Pathetic!
 
namkumbuka huyu baba diamond walipouza nyumba ya urithi kariakoo alivyokuwa mtu wa bata sana, anadrive landcruiser huku mama diamond na mtoto wake diamond wanashinda njaa, hakuwasaidia chochote!
 
mama ndo final say kama mama yey angemshauri atoe msaada ange fanya ivy .lkn kama huoni effort zozote zile jua mkono wa bi sandra upo ndan
 
yule mama anapaswa kumshukuru sana mzee abdul kwa kupanda mbegu bora iloleta matunda hata kama alitelekeza familia
Amshukuru wakati Mzee Abdul naye aliienjoy ? Kama Ana mbegu Bora kwann hasiende kupanda kwengine ili apate matunda
 
namkumbuka huyu baba diamond walipouza nyumba ya urithi kariakoo alivyokuwa mtu wa bata sana, anadrive landcruiser huku mama diamond na mtoto wake diamond wanashinda njaa, hakuwasaidia chochote!
Hshahahaa Safi sana
 
Back
Top Bottom