Ushauri: Kwenye Tsh. Milioni 100 tutakayopata Simba, tusimsahau Refa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Nadhani iko wazi Kila mtu anajua kuwa timu yetu ya Simba imefika finali ya mapinduzi cup Kwa jitihada Binafsi za referee, kesho lazima tushinde dhidi ya Mlandege.

So ni vyema kama timu ku acknowledge wema tuliotendewa na refa Kama shukrani ya kazi kwenye Ile 100m refa apate hata 50m.

NB: Japo tumepeleka kosi la 3bln kwa ajili ya 100m ila bila refa mambo yangekua magumu[emoji23]
 
Ndiyo maana V.A.R ilianzishwa.

Hakuna timu ambayo haijawahi kunufaika kutokana na makosa ya mwamuzi.
 
Uto hamjapiga hesabu vizuri. Mngechukua hiyo 100m mngemwaga kifusi Kaunda au mngepiga rangi lile jengo lenu chafu au mngenunua vitanda size kubwa pale kwenye jengo lenu
 
Uto hamjapiga hesabu vizuri. Mngechukua hiyo 100m mngemwaga kifusi Kaunda au mngepiga rangi lile jengo lenu chafu au mngenunua vitanda size kubwa pale kwenye jengo lenu
GSM katoa mchango wa 60ml national team..huoni wenzetu wanapesa nyingi
 
Simba inatia aibu sana, Azam wanaonesha mechi na kila mtu anaona timu ni mbovu, refa kaongeza extra time dkk 6 ila mpira ukachezwa extra time dkk 9! Na kama Simba wasingepata goli la kubebwa mpira ungechezwa hadi usiku wa manane na usingeisha mpaka Simba wasawazishe, halafu mbumbumbu wakashangiliaaaaa! Big up sana marefa wa bongo kuibeba Simba!
 
Refer alishachukua kitita chake. Nadhani Kuna watu aliwagawia maana kamati imesema makosa yake Ni ya kibinadamu.
Ila aongezwe kidogo mkuu....kazi aliyofanya imetufurahisha Wana msimbazi [emoji23]
 
Angewatafutia Makolo penalty
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ