Hawa waarabu hawana uswahili wa njoo kesho au kukuibia spare.
Ni kweli nimehakikishiwa hivyo, Pia nimeshauriwa nifike Toyota Tanzania Ofisi/Garage Tanga, njia ya Bombo nitapata mambo yote hayo niyatakayo kuhusu gari yangu, Nafuatilia ushauri huu pia.Hawa waarabu hawana uswahili wa njoo kesho au kukuibia spare.
Ukiambiwa muda fulani gari itakuwa tayari ukienda unachukua na kuondoka.
Sent using Jamii Forums mobile app