Ushauri: Mahindi ya Kuchoma

Ngedele wamechoka kuwindwa
 
Kwanza hongera sana kwa kufikiria hii biashara. Kwa kuanzia nashauri seriakali iache matamko kwamba kuchoma mahindi ni kusababisha njaa. Kuchoma mahindi kunachochea wakulima kuwa na mbadala wa shughuli za kufanya. Narudi kutoa ushauri
Nani alitoa tamko la kipumbavu kama hilo?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…