ya kuchangia mwili urudishwe bongo hatuwezi.Ndugu zangu wenye Usikivu Hafifu. Mmewezaje kutoka kimaisha? Mwenzenu naona mambo magumu sana. Kazi sina, zingine napata wananitosa, mtaji sina, mpenzi sina.
Natamani nikimbilie South Africa nikafie huko. Nisije nikatia aibu kwenye familia. Sasa simeanza kumuelewa Mpauko kwanini alichukua maamuzi yale. Stress ninaua wanangu.
Kwa Yeyote Atakayekuwa Tayari Tukutane ili tuongee. Nina stress sana ndugu zangu.
Mkuu karibu PM tujadiliNdugu zangu wenye Usikivu Hafifu. Mmewezaje kutoka kimaisha? Mwenzenu naona mambo magumu sana. Kazi sina, zingine napata wananitosa, mtaji sina, mpenzi sina.
Natamani nikimbilie South Africa nikafie huko. Nisije nikatia aibu kwenye familia. Sasa simeanza kumuelewa Mpauko kwanini alichukua maamuzi yale. Stress ninaua wanangu.
Kwa Yeyote Atakayekuwa Tayari Tukutane ili tuongee. Nina stress sana ndugu zangu.
Kama kwa hali yako umeshindwa kumudu maisha ya Tanzania, usithubutu kunyenyuq mguu na kwenda South Africa. Huko huchukui hata mwezi mmoja utakuwa umeshakufa.Ndugu zangu wenye Usikivu Hafifu. Mmewezaje kutoka kimaisha? Mwenzenu naona mambo magumu sana. Kazi sina, zingine napata wananitosa, mtaji sina, mpenzi sina.
Natamani nikimbilie South Africa nikafie huko. Nisije nikatia aibu kwenye familia. Sasa simeanza kumuelewa Mpauko kwanini alichukua maamuzi yale. Stress ninaua wanangu.
Kwa Yeyote Atakayekuwa Tayari Tukutane ili tuongee. Nina stress sana ndugu zangu.
Ndyo Naweza Kaka.Unaweza kufanya kazi ngumu za migodini?
Pole sana mkuu...
Umejaribu kuona zile mashine ndogo za kuongeza usikifu kama zitakusaidia?
HapanaPole sana mkuu...
Umejaribu kuona zile mashine ndogo za kuongeza usikifu kama zitakusaidia?
Unapatikana mkoa gani? Nipe no. Pm yangu haifunguki so nitumie hapa.Ndyo Naweza Kaka.
Upo mkoa gan mkuuNdugu zangu wenye Usikivu Hafifu. Mmewezaje kutoka kimaisha? Mwenzenu naona mambo magumu sana. Kazi sina, zingine napata wananitosa, mtaji sina, mpenzi sina.
Natamani nikimbilie South Africa nikafie huko. Nisije nikatia aibu kwenye familia. Sasa simeanza kumuelewa Mpauko kwanini alichukua maamuzi yale. Stress ninaua wanangu.
Kwa Yeyote Atakayekuwa Tayari Tukutane ili tuongee. Nina stress sana ndugu zangu.
Sasa mkuu kama kufa si bora ufie hapa home kuliko kwenda kufia ugenini? Pambana tu mkuu, hata sisi wenye usiku mzuri bado tunapambana na changamoto nyingi!Natamani nikimbilie South Africa nikafie huko
Pole SANA. Hiyo option ya "kufia huko" ondoa KABISA wala usije kuitaja siku nyingine. Hiyo changamoto wanayo watu wengi lkn maisha yanaenda. Pia kuna wenzio wengi wana changamoto kali kuliko wewe na uenda wanasema natamani niwe kama Alfagems lakini wewe hujui hilo. Kuna vifaa vya kuasaidia hilo suala tena vingine bei siyo kali hadi $20 - $50. Nunua, vaa, JIKUBALI usiangalie nani kaniangalia je? Wewe Dunda tu na mambo yatakwenda vizuri tu. Pia sijakuelewa pale uliposema " STRESS NINAUA WANANGU", unataka kuua wanao?!! Kama nihivyo acha kabisa na wanenee wanao mema tu. Mwombe MUNGU atakusaidia, nawe ukiweka juhudi na kujikubali. MUNGU ATAKUSAIDIANdugu zangu wenye Usikivu Hafifu. Mmewezaje kutoka kimaisha? Mwenzenu naona mambo magumu sana. Kazi sina, zingine napata wananitosa, mtaji sina, mpenzi sina.
Natamani nikimbilie South Africa nikafie huko. Nisije nikatia aibu kwenye familia. Sasa simeanza kumuelewa Mpauko kwanini alichukua maamuzi yale. Stress ninaua wanangu.
Kwa Yeyote Atakayekuwa Tayari Tukutane ili tuongee. Nina stress sana ndugu zangu.
Nilikosea hapo, Nilitaka Kuandika " Stress Zinaua Wanangu"Pole SANA. Hiyo option ya "kufia huko" ondoa KABISA wala usije kuitaja siku nyingine. Hiyo changamoto wanayo watu wengi lkn maisha yanaenda. Pia kuna wenzio wengi wana changamoto kali kuliko wewe na uenda wanasema natamani niwe kama Alfagems lakini wewe hujui hilo. Kuna vifaa vya kuasaidia hilo suala tena vingine bei siyo kali hadi $20 - $50. Nunua, vaa, JIKUBALI usiangalie nani kaniangalia je? Wewe Dunda tu na mambo yatakwenda vizuri tu. Pia sijakuelewa pale uliposema " STRESS NINAUA WANANGU", unataka kuua wanao?!! Kama nihivyo acha kabisa na wanenee wanao mema tu. Mwombe MUNGU atakusaidia, nawe ukiweka juhudi na kujikubali. MUNGU ATAKUSAIDIA
Unapatikana mkoa gani? Nipe no. Pm yangu haifunguki so nitumie hapa
,Mashine zile hazinisaidii kaka naona ni kama naongeza Tatizo nikizivaaPole sana mkuu...
Umejaribu kuona zile mashine ndogo za kuongeza usikifu kama zitakusaidia?