FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
- Thread starter
- #21
Sawa mkuu inabidi niwe na balance pembeni hapa naonaSqm 179 ni nyingi, hivyo bati 140 hazitoshi kumaliza kazi. Ongeza bati 40
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu inabidi niwe na balance pembeni hapa naonaSqm 179 ni nyingi, hivyo bati 140 hazitoshi kumaliza kazi. Ongeza bati 40
mkuu unapataje hizo sqmSqm 179 ni nyingi, hizo bati 140 hazitoshi kumaliza kazi. Ongeza bati 40
Ameandika hapo juumkuu unapataje hizo sqm
Sahihi, huko juu nimemuambia aongeze bati 40 ili jumla ziwe bati 180Nimejenga nyumba ya sqm 174 awali nilinunua bati 150 za futi 10 migongo membamba hazikutosha, ikanibidi niongeze bati 25 na haikubaki hata moja zaidi ya vipande. Ila nadhani ni kwa sababu bati zilikatwa sana kutokana na muundo wa paa.
Muundo wa paa ni kama unavoonekana hapo.View attachment 2476977