Ushauri: Makanisa ya taasisi (umma) ajirini kampuni za usafi na siyo kuwapangia zamu wauumini

Ushauri: Makanisa ya taasisi (umma) ajirini kampuni za usafi na siyo kuwapangia zamu wauumini

Mende mdudu

Senior Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
111
Reaction score
223
Wakuu ni kama mawazo maoni au ushauri.

Kuwepo na baadhi ya makanisani ya umma yenye majina makubwa Jumapili sadaka ya jumla ikisomwa si chini ya million 3, 5, adi kumi kwa yalio mjini, ila usafi unafanywa na waumini kwa kupitia jumuia.

Utakuta jumuiya flani ina zamu ya usafi, pesa zote zinazo kusanywa zinashidwa kuweka kampuni ya usafi?
 
Wakuu ni kama mawazo maoni au ushauri.

Kuwepo na baadhi ya makanisani ya umma yenye majina makubwa Jumapili sadaka ya jumla ikisomwa si chini ya million 3, 5, adi kumi kwa yalio mjini, ila usafi unafanywa na waumini kwa kupitia jumuia.

Utakuta jumuiya flani ina zamu ya usafi, pesa zote zinazo kusanywa zinashidwa kuweka kampuni ya usafi?
Wacha tushiriki kusafisha nyumba ya Bwana!
 
Wakuu ni kama mawazo maoni au ushauri.

Kuwepo na baadhi ya makanisani ya umma yenye majina makubwa Jumapili sadaka ya jumla ikisomwa si chini ya million 3, 5, adi kumi kwa yalio mjini, ila usafi unafanywa na waumini kwa kupitia jumuia.

Utakuta jumuiya flani ina zamu ya usafi, pesa zote zinazo kusanywa zinashidwa kuweka kampuni ya usafi?

Usafi na Kutumikia pia ni Ibada...!

Yule anayeweza kufanya Ibada hii Aachwe aifanye.

Ni Baraka kubwa Kumfanyia Mungu Usafi sehemu ya kufanyia Ibada. Unatoa Sadaka ya Muda Wako na nguvu zako pia...!

Kumbuka Wapo ambao nguvu ya Michango au Sadaka Ya Fedha hawana sana, Wanachoweza kufanya ni kujitolea mtaji wa nguvu na Muda... Mungu pia anawabariki kupitia Sadaka hii..!

Fanya Usafi Wewe, acha janja janja
 
Usafi na Kutumikia pia ni Ibada...!

Yule anayeweza kufanya Ibada hii Aachwe aifanye.

Ni Baraka kubwa Kumfanyia Mungu Usafi sehemu ya kufanyia Ibada. Unatoa Sadaka ya Muda Wako na nguvu zako pia...!

Kumbuka Wapo ambao nguvu ya Michango au Sadaka Ya Fedha hawana sana, Wanachoweza kufanya ni kujitolea mtaji wa nguvu na Muda... Mungu pia anawabariki kupitia Sadaka hii..!

Fanya Usafi Wewe, acha janja janja
Huku katoro tuna zamu za kupeleka makopo ya maziwa
 
Wakuu ni kama mawazo maoni au ushauri.

Kuwepo na baadhi ya makanisani ya umma yenye majina makubwa Jumapili sadaka ya jumla ikisomwa si chini ya million 3, 5, adi kumi kwa yalio mjini, ila usafi unafanywa na waumini kwa kupitia jumuia.

Utakuta jumuiya flani ina zamu ya usafi, pesa zote zinazo kusanywa zinashidwa kuweka kampuni ya usafi?
🤣🤣🤣 ukute umeanzisha kikampuni chako cha usafi halafu huna ramani. anyway hizo ni mambo ya imani ndiyo maana hakuna adhabu kama hutoshiriki.
 
🤣🤣🤣 ukute umeanzisha kikampuni chako cha usafi halafu huna ramani. anyway hizo ni mambo ya imani ndiyo maana hakuna adhabu kama hutoshiriki.
Aanze kwa kujitolea,ndipo aanze ushawishi, biashara ni matangazo!
 
Msiende kwenye jumuiya basi ili ijulikane moja kwamba mmegomea usafi wa kanisa kwa vitendo sio maneno tu
 
Huku katoro tuna zamu za kupeleka makopo ya maziwa

Hapa Mada nafikiri ni 'Sadaka'.. ya Usafi Sehemu ya kufanyia Ibada.

Hii pia ni Sadaka ambayo muumini anatoa muda wake na nguvu zake kusafisha sehemu ya kufanyia Ibada kama Sadaka yake..!

Sio Wote wanao uwezo Wa Kutoa Pesa kama Sadaka,Sio Wote wanao uwezo Wa Kutoa Sadaka ya Muda,Wapo pia nguvu wanazo za kufanya usafi. Zote hizo ni SADAKA..! Na Mwenyezi Mungu anazithamini hizo Sadaka..!

Hivyo, kama unaweza Kutoa Fedha kama Sadaka toa,Mungu atapokea..!

Lkn Yule mwenye uwezo Kutoa muda wake na nguvu zake Kwa kufanya Usafi tusimkatishe tamaa, hiyo pia ni Ibada Kubwa sana Kwa Mwenyezi Mungu.
 
Wakuu ni kama mawazo maoni au ushauri.

Kuwepo na baadhi ya makanisani ya umma yenye majina makubwa Jumapili sadaka ya jumla ikisomwa si chini ya million 3, 5, adi kumi kwa yalio mjini, ila usafi unafanywa na waumini kwa kupitia jumuia.

Utakuta jumuiya flani ina zamu ya usafi, pesa zote zinazo kusanywa zinashidwa kuweka kampuni ya usafi?
Ni majitoleo. Hujashkiwa fimbo. Kama hutaki acha! Kanisa lipo, litakuwepo, wewe utaondoka.
 
Kama umeamua kushiriki ibada, endelea na kushiriki na shughuli zingine za kikanisa mkuu acha excuse kisa umeona fuko la sadaka linaongezeka.....navyojua mie sadaka unatoa kile ulichonacho na bwana anakuona mpaka moyoni mwako! Vipi kama ulichonacho kikipungua na kwa mwingine kikapungua na sadaka zikapungua mtarudi tena kuwaomba waumini wasafishe

Fanya kazi za kanisa mkuu na watoto wako wanaoshinda shule wiki nzima wakisaidiwa kazi na dada wa kazi, ndio muda wa kuwasukumia huko kanisani wakafanye kazi kwa niaba yako (wakajifunze kazi)
 
Wakuu ni kama mawazo maoni au ushauri.

Kuwepo na baadhi ya makanisani ya umma yenye majina makubwa Jumapili sadaka ya jumla ikisomwa si chini ya million 3, 5, adi kumi kwa yalio mjini, ila usafi unafanywa na waumini kwa kupitia jumuia.

Utakuta jumuiya flani ina zamu ya usafi, pesa zote zinazo kusanywa zinashidwa kuweka kampuni ya usafi?
Kuna baraka nyingi ukifanya kazi ya BWANA hiyo ni sadaka
 
Back
Top Bottom