Forbes1990
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 513
- 991
Mwaga mboga mkuuHuu uzi bado upogo na unasonga?!!!
Hahahaaa The JF. This thread taught me a lot about jf gamers.
I am of the opinion that this thread was 'strategically' initiated. Uzi wa kimkakati.
I get around, and still balling. Life goz'on.
Bongo nyoso!
-Kaveli-
Ahsante mkuu.
Mkuu ndoto ya kwenda nje bado unayo ama ndo hivyo tena? [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah. mimi now ndo kipaumbele changu namba 1 kuliko kitu kingine, nataka nikaweka kambi Botswana kwa muda then ndo niangalie namna ya kwenda kwa mabeberu.
Asante kiongozi mfano mim nalenga sana kwenda New Zealand jee una info yeyote kuhusu uko? Nisaidie kwa hapo mkuu Lusungo.
Mkuu ndo unaishi kule kwa akina Puff Dady nini? ilo yai sio la ukanda wa akina jiwe. [emoji23][emoji23]Huu uzi bado upogo na unasonga?!!!
Hahahaaa The JF. This thread taught me a lot about jf gamers.
I am of the opinion that this thread was 'strategically' initiated. Uzi wa kimkakati.
I get around, and still balling. Life goz'on.
Bongo nyoso!
-Kaveli-
BOMU HILIHello there !!
Pamoja na kwamba moderators wametoa thread ya mwanzoni sababu ya CHUKI Binafsi au baadhi ya watu wenye chuki binafsi wanataka wengine tuendelee kua masikini na kulia shida ila wao waendelee kutesa kwa zamu wameripoti uzi huo ufutwe, nmefungua tena thread hii upya.
Group hilo whasapp tutasaidiana kwa kupeaana habari na taarifa mbalimbali zitakazotusaidia kuweza kufanikiwa kupata na hatimaye kufanya kazi nje ya nchi(OVERSEAS), tazama pale inavyopendeza kijana anayeishi nje ya nchi miaka na miaka hata kama ni michache ambaye ameshapata exposure ya kutosha akimsaidia kijana aliye nchini anayehitaji kupata exposure hio kuliko kua na akili mgando kwamba maisha ni hapa hapa nchini.
Group la whasapp lipo, karibu Pm kama una mlengo sawa na niliyoandika hapo juu nikupatie. Sababu ya kufanya hivi ni kuzuia watu wasio na maana wanaoingia tu kwa sababu zao zingine, link is supposed to be shared na watu trusted na sio kuweka ovyo kila mtu aingie tu.
Pia nakukaribisha wewe ambaye una exposure ya nje ya nchi au uko nje ya nchi, unaweza kua msaada sana kwa wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
BOMU HILI
Habari za denmark mkuuTengeneza telegram group ndio safi mimi hadi december nitakuwa denmark
Ndio kwanza march december bado.Habari za denmark mkuu
Ndio kwanza march december bado.
Ndio napigania kufunga ndoa ya kuzugia na demu mmoja rafiki yangu sana. Then mkataba wetu nikifika huko nijichanganye kitaa mwenyewe kupisha mishe. Na maelekezo aliyonipa nikusomea uendeshaji wa forklift zile za viwandani na bandarini kwani kazi zake ni za nje nje na unalipwa kwa masaa.Ukivuka nipigie tafu na mm mkuu
Ndio napigania kufunga ndoa ya kuzugia na demu mmoja rafiki yangu sana. Then mkataba wetu nikifika huko nijichanganye kitaa mwenyewe kupisha mishe. Na maelekezo aliyonipa nikusomea uendeshaji wa forklift zile za viwandani na bandarini kwani kazi zake ni za nje nje na unalipwa kwa masaa.
Nawaacha na kina bashite na ole sabaya.. maana nilivyosipendi nitafungwa kwa uchocheziAll the best
Nawaacha na kina bashite na ole sabaya.. maana nilivyosipendi nitafungwa kwa uchochezi
Vip mkuu ulishafunga ndoa na uyo mlami?Ndio napigania kufunga ndoa ya kuzugia na demu mmoja rafiki yangu sana. Then mkataba wetu nikifika huko nijichanganye kitaa mwenyewe kupisha mishe. Na maelekezo aliyonipa nikusomea uendeshaji wa forklift zile za viwandani na bandarini kwani kazi zake ni za nje nje na unalipwa kwa masaa.
Baba tuombe mungu kotona iishe