Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ulizingua kinoma.
 
Msikimbilie nje ya nchi. Tanzania imeingia uchumi wa kati. Mambo yote bongo. Bongo tambarareeeeeeee
 
South Africa ni mahali pa kwenda?? Ukikutwa na dogodogo, au sabb yyte isiyo na mashiko unanyunyizwa petrol na kupigwa kiberiti fasta!!
Nilimshauri aitumie ktk hatua za awali za kuomba passport
 
 
Unamawazo mazuri MUNGU akubariki
 
Tupe connection mzee wa kazi ya kufika uko kwenye iyo migodi.
 
Izzo...ww jamaa upo tofauti kbs na tabia zetu ss waTz,na pia heshima kwako Lusungo na wengineo wanao tupa Madini haya,kwakeli nime kusoma ni mtu flan mwenye moyo mkunjufu sana, sa'bu hiz information km za wa Germany kuhusu mali zao na pia kuhusu Malta ulivyo tiririka sio siri nime kuvulia kifua, Mungu akubari sana 🙏
 

N kwel kbis mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…