SAUL BERENSON
Senior Member
- Jan 31, 2017
- 150
- 154
Ngumu mimi nina tons of data and information but lazima tupige presha tupewe diaspora subforumMkuu litakuja tu... Hata hapa waweza tiririka tu.
Acheni kuleta huu Ujinga kwenye Mjadala wa Mambo SeriousTENGENEZA SHS 17,000,000 NDANI YA MIEZI 6
Ukijiunga na ADSCASH kuanzia sasa hivi unaweza Kupata kipato cha zaidi ya Tshs 17,000,000 ndani ya muda mfupi ujao wa miezi 6 tu!
Kwenye kampuni ya ADSCASH Kuna vifushi vipatavyo 7 vyenye nyota zenye coin hadi 4000!!
Naomba kwa kifupi tu nikufafanulie kifurushi cha nyota 5 na kifurushi cha nyota 7 tu uone maajabu ya kipato kwenye Sarafu hii mpya ambayo inazinduliwa mwisho wa mwezi huu wa Machi!!
Ukinunua Kifurushi cha nyota 5 maana yake wewe utakinunua kwa zaidi ya shs 50,000 kama uwekezaji wako kwenye kampuni na hapo utapata coin 1000!!!!
Hizo coin 1000 + 100 utakuwa na coin 1,100. Endapo utazibadilisha kuwa dollars au Bitcoins hapo ndipo utapewa fedha!!
Kama coin moja itakuwa $1 utalipwa $ 1,100 takribani shs 2,600,000 hivi!
Kama coin itakuwa ni $5 wewe hapo utakuwa na utajiri wa $5,500 au shs milioni 13,000,000 hivi!
Na kama coin moja itapanda bei hadi kufikia$10 ( eeeeh Mungu saidia ipande haraka) mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 hicho atakuwa na $11,000 sawa na zaidi ya shs 25,000,000!!
Kwa hiyo mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 huo ndo ushuhuda wake utakavyokuwa kwa mwaka mmoja huu ndani ya Adscash business!!
Mambo matamu sana yanakuja!! Wajasiriamali wa ukweli huwahi fursa za ukweli!!
Ukiwa na kifurushi cha nyota 7 chenye coin zaidi ya 4000+100 utakuwa na uwezo wa Kupata team bonus zote za team yako!!
Hadi siku ya UZINDUZI coin za adscash zitakuwa na bei ya centi 2.5 za kimarekani!! Coin 4000 utazinunua kwa USD 100 !! Baada ya uzinduzi wa kampuni hii coin zako 4100 utaweza kuzitoa au withdraw 4100 kwa rate ya $1 au $2! Hapo sasa coin zako 4100 zitakuwa na thamani ya $4,100 sawa na Tshs 9,500,000 hivi kwa rate ya $1 kwa coin!
Kama coin moja itakuwa$2 hapo utakuwa na
$8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!
Endapo mtu mwinye team kubwa hatanunua package yoyote hatapata pesa hiyo! Ataambulia coin 100 tu hizo za Bure!
Na huu utakuwa ujinga wa hali ya juu kuamua kujiunga na wajinga wasioona mbali!! Yaani wewe unaweza kuanzia wapi kwa mfano kuacha kuwekeza kwenye Sarafu za adscash kwa shs 250,000 ambazo zaweza kukupatia Tshs 17,000,000 baada ya miezi mitatu au sita?
Jiunge sasa kwa Link hiyo chini na upate coins 100 bure kisha utakuja kuamua uwekeze katika kifurushi gani kulingana na uwezo wako.
(AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.)
[emoji1] [emoji1] Fagia tu hapa hapa kwa sizonjeOoh nifanyie mpango hapo kwenye kufagia nije
[emoji1] [emoji1] [emoji1]"....Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini."
Hapa ndio sikubaliani na wewe, nchi yetu ina fursa nyingi zaidi za kutoka kuliko huko unakokusema wewe! Ushaona huko nje biashara ya kuchajisha simu? kuingiza nyimbo kwenye simu? hivi utoke huku useme unataka kuwa mkulima wa kati au mkubwa utaweza kweli ukiwa US?
Narudia tena fursa zipo hapa hapa zimejaa tele kwani nchi yetu bado ni changa inakua..... ngoja ninywe maji kwanza maana.....
P.S Hauwezi kuwa tandale uwashauri watu namna ya kwenda kwa DJT
Fursa za kufoji vyeti zipo lakini za kutoka kimaisha sahau[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Unakwenda na mtoto, mama yake je ?Daby nina mpango wa kwenda INDIA kuzisaka.je utaniunganisha na huyo agent anifanyie visa yangu na mwanangu ana mwaka mmoja?thanks in advance
Mbona ulishindwa kufanya hivyo kwa Shem wetu Anitha!!!!Nakuapia mkuu siwezi kumtenda mtoto wa kizungu nahakikisha nitatunza penzi lake..
Mkuu izzo, baada ya kuwa mtu amesoma hii kozi ya English na kupata 70 or above, unahisi ni kitu/vitu gani muhimu unatakiwa kukamilisha?Japan zipo za PhD South korea mpaka nicheki na wadau
Scandnavia Zipo za Denmark
Norway
Sweden
America zipo za Canada na US
Kiwango cha elimu kusomea ni Masters na PhD
Sharti ufanye mtihani wa kingereza score ni kuanzia 70%
Ni full Scholarship kuanzia nauli ya kwenda na kurudi kwenu kwa mwaka mara mbili maradhi na pocket money kila mwezi
Mkuu hawa wakwetu wapo mguu mmoja nje...ila mzungu ni mzungu vitu vyake huwa si vyakubahatishaMbona ulishindwa kufanya hivyo kwa Shem wetu Anitha!!!!
sureVery useful thread. I am closely following.
-Kaveli-
Sasa huna sababu ya kwenda inje ya inchi passport KUBWA ya nn?kama ni suala la kwenda Kenya na Burundi.. Utapewa tu hata WILAYANI..ile ya karatasiNafikiri hatujaelewana... TZ kuna masharti na hatukatai yasiwepo... Hakuna nchi isiyo na masharti mkuu... Tunachoongelea hapa sababu za umiliki... Bila kuwa na sababu ya kwenda nje bongo hupati passport tofauti na wenzetu unaweza imiliki tu kama kitambulisho.
Fursa za kufoji vyeti zipo lakini za kutoka kimaisha sahau
Unalima tuta unamwagilia mkojo wako mwenyewe au mate? Unaweza kulima malori mangapi ya mchicha na unauza kwenye masoko gani hapa bongo? Huko shambani kuna barabara zakufikisha huo mchicha wako unakotaka kwenda?Jiulize kitu, hapo unapoishi unaweza kulima tuta ukapanda mchicha ukatengeneza hela yako ya kwanza. Na fursa ipo zaidi ukihitaji kutanua hii biashara (huu ni mfano tu). Sasa wewe nenda nje uone kama utaweza kuwa na hilo tuta tu la mchicha!!
Acheni kudanganyana, nenda nje kusoma rudi bongo fursa zimejaa tele hapa. Otherwise kama una utaalamu wako nenda nje ukaajiriwe, kumbuka technologia imesogea zaidi kule hivyo waajiriwa ni wachache. Ukitaka kabebe box, ila kumbuka muda utakaotumia kijana mwenzio anaweza kuongeza biashara yake ya mboga mboga hapa hapa akiisimamia vizuri by the time unarudi huna hata pa kuanzia, mwenzio anakunyoosha tu na greenhouses zake!!
Unalima tuta unamwagilia mkojo wako mwenyewe au mate? Unaweza kulima malori mangapi ya mchicha na unauza kwenye masoko gani hapa bongo? Huko shambani kuna barabara zakufikisha huo mchicha wako unakotaka kwenda?
Serikali yako imekuwekea mazingira mazuri yakwenda kuuza mchicha russia na nchi nyingine? Hukusikia msimu uliopita nyanya zilioza mashambani na zikawa malisho ya mbuzi na nguruwe?
Hata hao unaowasikia wako ulaya sikwamba bongo hawana vitega uchumi. Wapo wenye majumba wamepangisha, wapo wenye mashamba makubwa wanalima large scale agriculture sio tuta moja la mchicha uanze kutembeza na beseni mitaani. Wapo wengi wamekeza bongo, mitajo wameitoa mbele huko.
Kama ulifoji cheti huwezi kuwazia kusoma mbele, waache vijana wakapige shule mbele wakirudi sawa wakibaki hukohuko sawa tu.
Ushauri mzuri sana ila nimesoma kama kuna website za watu wanatafuta wafanyakazi wa hiyari so naomba utumie muda wako hata utupe link maana mm binafs nimekuelewa sana[emoji106]Mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu ikiwamo ya ndoa za usanii siku hz wanafatilia sana na njia hii siku hz ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni
Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)
So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)
Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya
So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini
Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja
Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian
Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji
So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo
Kuna website ambazo watu kutoka sehemu zote za dunia wanatafuta watu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea ambapo yeye atakupa chakula na sehemu ya kukaa bure kipindi chote utakachokuwa pale kwake mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi
Lakini leo kunambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa tena na balozi zenu zilivyo ngumu kwa raia wake utakoma na kujuta kuja tena mkuu wenu amesema muachwe njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwaka wa sita unapassport ya mzungu
Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi awajaijua then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu wanawake hasa wa Tanganyika wamekuwa wanaogapa sana kuchukua maamuzi ya kuondoka lakini nataka kuwambia tena wanawake ndio njia nyepesi sana kwani wazungu wanawaheshimu sana wanawake cha kwanza kwa heshima kwa wazungu
1 Wanawake
2 Mbwa au wanyama
3 Mwanaume
So kwa dada zangu kwa njia hii ya Jeshi ni bora sana kwao tena sana naongea hv kwa kujua ninachosem
Ningependa kuwambia ndugu zangu Watanganyika kwamba dunia ya sasa maendeleo yamehama kutoka kwenye nchi zinazoongea kingereza na kuhamia kwenye nchi ambazo haziongei kingereza kwani dunia nzima robo tatu wanajifunza au wanajua kingereza na target yao ni kwenda kukaa nchi zinazoogea kingereza sasa utakuta nchi zinazoongea kingereza zimeshajaa wahamiaji kibao lakini niwape siri kubwa kuwa nchi zisizo ongea kingereza zinaitaji sana watu kwani watu wamekuwa wakienda kwenye nchi zinazoongea kingereza
MALCOM LUMUMBA
Its like u spoke by my voice ila ntakuja kujieleza na mimi kivyangu kwa herufi kubwaizzo asante kwa kuuliza, bado sijapata ndio kwanza niko kwenye mchakato wa kutafuta kwa kiwango cha uzamili. Ukweli sina nchi specific kuwa ni lengo mahususi natafuta tu kwa ujumla ni kule patakapotiki. Ila napenda Japan, south korea na nchi za scandnavia. Lakini huu uzi umeniongezea wigo wa nchi nyingi zaidi ambazo sikuzifikiria hapo kabla.
Ubinafsi aweke hapa wanajamii forum wote tukutane malta.unataka uende mwenyewe duuuMkuu nakuja inbox unipe indetaila how to reach malta. Serious.