Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu izzo usiniache nje 0625777496.
Babangu alikuwa anakuja nyumbani na wageni kutoka Canada lakini kipindi hicho nilikuwa mdogo sikujua chochote leo hii nimekua na sinae tena.
 
Wakuu katika option hizo 3 mimi nieona hio ya kwenda Malta kuwa volunteer ( kujitolea) then after 1 year nachukua uraia ndo nyepesi kwangu. Sasa naombeni kama kuna mtu ana connection na hao watu aniunganishe. Ntamshukuru sana zaidi ya saana. Nipo Dar. Pasport na nauri ninayo pia kwny lugha niko vizuri
 
Izzo alieleza vizur mwanzoni!!Pitia comment zake!! By the way kwa njia ya kuvolunteer Malta!! Ingia website ya workaway.com then tafuta host wa kupokea volunteer huko MALTA!!kazi kawaida ni few hours( may be 5) per day ila unapata chakula na malazi!!Ol the best road to Malta!! tukutane huko this year....!!!
 
Labda nielezee kitu hapa kuhusu Scholarships naona wengi hamna taarifa vizuri(hiki nimekifanya mwenyewe na nimefatilia mimi mwenyewe)

Iko hivi wandugu, ukitaka uombe Scholarships kwanza lazima uwe umepata admission ya chuo husika tena iwe "UNCONDITION ADMISSION"

Uncondition Admission means Uwe umemeet vigezo vyote(hapa wengi huwa navyo) pamoja na kigezo cha Laguange Proficiency ( hapa ndio kikwazo kwa kila mtu) hapa kwa Tanzania wanataka TOEFL/IELTS(score kwa TOEFL 95iBT kwa IELTS ni 6.0/6.5) na GRE(Hapa kwa Engineering). Then utatumia hiyo Admission kuombea Scholarships na pia Scholarships nyingi wanataka at least uwe na experience ya miaka 3 kazini,

Then Barua ya mwajiri (wenye roho za korosho hapa ni kazi), Referees (Academics) hawa sio kazi kuwapata, theni huwa kuna michujo Mingi sana kwenye hizi sholars, nawaambia kitu nilichoexpirience

kuchomoka kwa kutumia hizi scholarships ni kazi sana mpaka uipate na ndio maana mimi niliachana nayo KABISAAA wala SITAKI kuisikia kabisaa.

Mapambano yanaendelea..
 
Mkuu, ulinijumlisha kwenye interested hosts?!
Maana umetaja wawili tu [emoji2] [emoji2]
 
sory nilichelewa kukujibu ubuzy mwingi, ndio nipo kasulu tarafani makere jilani kabisa na Nyarugusu refugees Camp inayo host raia wa drc na buja
Mkuu nlikua hapo na red cross 2014, naomba nikutembelee aisee [emoji2] [emoji2]
 
Safi na hongera mkuu,
 
Chagua njia yangu tujilipue tomb
 
baki ww mwenyewe sasa
 


Passport unayo, NAULI unayo, 'yai' unatema, then you are good to go. Visit this site : workaway.com

Wengi wetu vijana, NAULI ndo changamoto that we primarily encounter regarding kupasua intercontinental sky.

Zangu dua mkuu ufike Malta salama.

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…