simon baker
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 522
- 698
Habari wadau,
Natumai wazima wa afya...
Binafsi nime develop a hobby ya mazoezi...ila appetite yangu ni ya kawaida mno plus natamani ku gain weight wastani...
Sasa kwenye pita pita nimekutana na hizi formula za muscle booster suppliments ambazo kama powder kwenye makopo
Wanasema unatumia kwa kuchanganya (eg glass ya maziwa,ndizi mbivu mbili na vijiko vya such formula daily) huku napiga tizi na mabadiliko ni mwezi tu lazma ni gain weight...
Sasa nimekuja hapa kuomba ushaur kwa ujuzi wenu juu ya athari za hizi mambo mana nimepata positive tu za hiz vitu
Nb :nilisikia zinafanya uwe kibamia pia ...
Natumai wazima wa afya...
Binafsi nime develop a hobby ya mazoezi...ila appetite yangu ni ya kawaida mno plus natamani ku gain weight wastani...
Sasa kwenye pita pita nimekutana na hizi formula za muscle booster suppliments ambazo kama powder kwenye makopo
Wanasema unatumia kwa kuchanganya (eg glass ya maziwa,ndizi mbivu mbili na vijiko vya such formula daily) huku napiga tizi na mabadiliko ni mwezi tu lazma ni gain weight...
Sasa nimekuja hapa kuomba ushaur kwa ujuzi wenu juu ya athari za hizi mambo mana nimepata positive tu za hiz vitu
Nb :nilisikia zinafanya uwe kibamia pia ...