Mwananjengo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 316
- 100
Wana jamvi msaada.Napata maumivu makali sana baada ya haja kubwa na huendelea hata baada ya haja. Na huwa choo kinakuwa kigumu sema sio sana ila maumvu yanazdi hadi napata shda kukaa.
Sijui tatzo ni nn.
Sijui tatzo ni nn.