Jiggy El Jefe
Senior Member
- Aug 10, 2017
- 143
- 170
Habari za Muda huu ndugu zangu.
Tusaidiane kidogo kwa mawazo au ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu au uelewa wa jambo hili.
Kwenye kipindi cha mwezi ww tatu mwishoni nlikua najiskia maumivu upande wa kulia ww kifua yaliopanda mpaka shingoni, begani na kichwani kidogo upande huo uko wa kulia. Yalikua nayasikia nikivuta hewa kawaida (kupumua), kukohoa au muda mwingi nikiwa nimelala.
Nilienda hospital ya private, wakasema wanipime pneumonia, ila hakukua na dalili halisi, hivyo doctor akanishauri nitumie antibiotics za pneumonia, week moja baaae tatizo halikuisha, nikarud hospital nyingine, nikamuelezea daktari akanipa dawa za pink- ethromycin (Sina hakika na spelling). na sindano ya maumivu...wakat natumia maumiv yanaenda kama yanapungua ila dose ikiisha yapo palepale. Mara ya tatu nikaenda kupima H.pylori wakasema iko positive, hivyo nikapewa Heligo kit ya siku 7...wakat natumia tatizo linapotea ila ikiisha linarudi
Mara ya nne nikaenda hospital tena nikapigwa xray ya kifua, doctor akasema anaona kama moyo umetanuka kidogo, so niende kwa daktari maalum wa magonjwa ya moyo pengine hilo ndo tatizo.
Nilionana na daktar wa magonjwa ya moyo katika clinic yake, akanipima vipimo viwili, ECHO na ECG. na alinambia kua haoni tatizo linalohusiana na moyo, na pia nlimueleza kuhusu Hpylori kuwa positive last time nilivyopia, akaniuliza kama nna dalili za vidonda, nikamwambia sina...since sijawah sumbuliwa na tumbo ama hata nikila vyakula ambayo haviendani na vidonda sijawah kuumwa. Daktar akasema Kua positive haimaanishi una ulcers ila ye alisema anaona kama kifua kinabana upande mmoja, alinipa dawa nikatumia, tatizo likaisha kwa muda....ila sasa limerud tena kuna maumiv sana upande wa kulia wa kifua kama vile kuna kidonfa ndani au kama mtu aliegongwa na chuma eneo hilo...hasa nikiwa nimejilaza au kukohoa ama ata kupiga chafya.
Naombeni ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu ama hata uelewa juu ya hili, tafadhali.
Tusaidiane kidogo kwa mawazo au ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu au uelewa wa jambo hili.
Kwenye kipindi cha mwezi ww tatu mwishoni nlikua najiskia maumivu upande wa kulia ww kifua yaliopanda mpaka shingoni, begani na kichwani kidogo upande huo uko wa kulia. Yalikua nayasikia nikivuta hewa kawaida (kupumua), kukohoa au muda mwingi nikiwa nimelala.
Nilienda hospital ya private, wakasema wanipime pneumonia, ila hakukua na dalili halisi, hivyo doctor akanishauri nitumie antibiotics za pneumonia, week moja baaae tatizo halikuisha, nikarud hospital nyingine, nikamuelezea daktari akanipa dawa za pink- ethromycin (Sina hakika na spelling). na sindano ya maumivu...wakat natumia maumiv yanaenda kama yanapungua ila dose ikiisha yapo palepale. Mara ya tatu nikaenda kupima H.pylori wakasema iko positive, hivyo nikapewa Heligo kit ya siku 7...wakat natumia tatizo linapotea ila ikiisha linarudi
Mara ya nne nikaenda hospital tena nikapigwa xray ya kifua, doctor akasema anaona kama moyo umetanuka kidogo, so niende kwa daktari maalum wa magonjwa ya moyo pengine hilo ndo tatizo.
Nilionana na daktar wa magonjwa ya moyo katika clinic yake, akanipima vipimo viwili, ECHO na ECG. na alinambia kua haoni tatizo linalohusiana na moyo, na pia nlimueleza kuhusu Hpylori kuwa positive last time nilivyopia, akaniuliza kama nna dalili za vidonda, nikamwambia sina...since sijawah sumbuliwa na tumbo ama hata nikila vyakula ambayo haviendani na vidonda sijawah kuumwa. Daktar akasema Kua positive haimaanishi una ulcers ila ye alisema anaona kama kifua kinabana upande mmoja, alinipa dawa nikatumia, tatizo likaisha kwa muda....ila sasa limerud tena kuna maumiv sana upande wa kulia wa kifua kama vile kuna kidonfa ndani au kama mtu aliegongwa na chuma eneo hilo...hasa nikiwa nimejilaza au kukohoa ama ata kupiga chafya.
Naombeni ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu ama hata uelewa juu ya hili, tafadhali.