1. Maumivu yapo chini ya titi (infra mammary) la upande wa kulia, kias kwamba hata nikibonyeza panauma.
2.Kukohoa sio ugonjwa yaan nikijaribu tu kujikoholesha ili nipime maumiv...ila sikuwah kukohoa kama ugonjwa, nlikua nafanya kama nakohoa ndo nikawa naskia maumiv pia.
3.x-ray nilifanya, na doctor alisema moyo unaonekana kama umetanuka kidogo sana, ila baada ya ECG na ECHO, doctor wa moyo alisema moyo kwa size uliotanuka sio tatizo kubwa la kufanya kuwe na maumiv, na alishaur tu nikifanya mazoez litaisha hilo, ila yeye alisema anaona kama kifua kinabana upande huo, kama mtu alietumia sigara ama kufanya kazi kwenye mavumbi sana.
4.Dawa za pneumonia nazokumbuka walinipa tu Ethromycin kama skosei jina...na zingine zilikua antibiotic za rangi mbili(kijani na nyeupe) sizikumbuk jina.
5.Dawa za Heligokit nlitumia kabla ya kuonana na mtaalam wa moyo, ila nlivomaliza maumiv yalipogoma kutoka, ndio nkaonana na huyo mtaalam akaniuliza kama nna dalili za vidonda, nikamwambia hapana...akasema tatizo haliwez kua ni vidonda.
6. Dawa za daktar wa moyo zilikua dose tatu, naikumbuka moja iliitwa "carbamazepina" na ingine ilikua ya rangi mbili mfumo wa antibiotics zile kama amoxlyn
7. Nliwah kutumia sigara kipindi flani ila nilishaamua kuacha., maana sikufikia pia stage ya kutokushindwa kuacha.
8. Sifanyi kazi mazingira hayo wala ya mavumbi.
9.Sijawah kupata ajali wala kuumia upande huu mmoja...yalianzaga tu kiutan kama shingoni nkajua nimelala vibaya...nikawa nachua na dawa ila yanarudi ndo yakashuka ad kifuani... mpaka so sasa ni kifuani tu chini ya titi...Sio sehem nyingine tena.
Vipimo vya ECG na ECHO ni hivi:
View attachment 831976View attachment 831979