Steve_Analysts
Member
- Nov 18, 2016
- 14
- 2
Habari zenu wakuu,
Takribani wiki moja sasa imepita nimekuwa nikikabiliwa na tatizo la maumivu ya magoti,hali hii imesabababishwa na mazoezi ya kukimbia kila siku asubuhi uwanjani katika jitihada za kutengeneza afya.
Naomba kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na wenye uzoefu na hili jambo kunijuza,je kukimbia kunaweza kusababisha maumivu ya goti?
Je, nifanyeje niweze kupata tiba ya magoti ili niweze kuendelea na mazoezi asubuhi?
Hali hii imekuwa ikitokea mara kwa mara pale ninapoamua kuanza mazoezi asubuhi,kila ninapoanza mazoezi baada ya wiki 2 nalazimika kuacha kutokana na maumivu ninayoyapata kwenye viunga vya goti.
Takribani wiki moja sasa imepita nimekuwa nikikabiliwa na tatizo la maumivu ya magoti,hali hii imesabababishwa na mazoezi ya kukimbia kila siku asubuhi uwanjani katika jitihada za kutengeneza afya.
Naomba kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na wenye uzoefu na hili jambo kunijuza,je kukimbia kunaweza kusababisha maumivu ya goti?
Je, nifanyeje niweze kupata tiba ya magoti ili niweze kuendelea na mazoezi asubuhi?
Hali hii imekuwa ikitokea mara kwa mara pale ninapoamua kuanza mazoezi asubuhi,kila ninapoanza mazoezi baada ya wiki 2 nalazimika kuacha kutokana na maumivu ninayoyapata kwenye viunga vya goti.