Habari zenu wana JF.mimi ni Mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Tanzania na nina mtaji wangu wa mil 3.naombeni mawazo yenu.biashara gani naweza fanya kwa mtaji huu nikiwa chuo?
habari zenu wanajf.mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa tz na nina mtaji wangu wa mil 3.naombeni mawazo yenu.biashara gani naweza fanya kwa mtaji huu nikiwa chuo?