Pre GE2025 Ushauri: Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inasikitisha sana
 
Dah!!
 

Mkuu natambua japo walikunyamazisha, wengine DM zao tukazipiga chini, na kwamba ume - mute utakuwa umebarizi mahala, buheri wa afya.

Wako wapi kina denoo g, denoo JG, Dlifter, Proved, JokamKuu, Rusungo na wenzao katika mwamba?

Viva imhotep kwenye mapambano umewakilisha.
 
Kimaono Ulitangulia mbele mkuu.
 
Aisee
 
Chukua maua yako Mkuu πŸ’πŸ’πŸ’
 
Ok sawa umesikika Mwaka huu Mbowe anaachia uwenyekiti, natamani kuona unagombea nafasi hiyo muda huo ukiwadia. Hawezi kujiuzulu bali ataondoka kwa kuamua kutokugombea au agombee na asichaguliwe kwenye nafasi hiyo.

Salamaleko Ustaadhi, tusiache kujikumbusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…