Ushauri: MD au Dental Surgery?

Ushauri: MD au Dental Surgery?

Mzee Mwafrika

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2007
Posts
203
Reaction score
104
Nimemaliza mwaka wa kwanza medicine ila ninaweza chagua kuendelea mwaka wa pili na Medicine au Dental Surgery.MD ni miaka saba na Dental Surgery ni miaka 5(Sio Tanzania tafadhali).Naombeni ushauri;niendelee na Medicine au nirukie Dental Surgery mwaka wa pili?Izingatiwe soko,muda na mengineyo.(Nakumbusha hii haiwezekani Tanzania ila inawezekana nilipo mimi kutokana na mfumo wa elimu wa huku)
 
Kwani wewe unataka uwe nani? Acha uroho wa pesa na kutaka kwenda sokoni mapema hivyo. Medical profession is just a matter of vocation ndugu yangu. Sijui kama kuna sehem itakayokufaa kwa mtindo huo. Go for counseling b4 they confuse you more down here...
 
Nimemaliza mwaka wa kwanza medicine ila ninaweza chagua kuendelea mwaka wa pili na Medicine au Dental Surgery.MD ni miaka saba na Dental Surgery ni miaka 5(Sio Tanzania tafadhali).Naombeni ushauri;niendelee na Medicine au nirukie Dental Surgery mwaka wa pili?Izingatiwe soko,muda na mengineyo.(Nakumbusha hii haiwezekani Tanzania ila inawezekana nilipo mimi kutokana na mfumo wa elimu wa huku)

-Hujasema uko wapi
-Hujasema unataka kufanya kazi wapi
-Hujasema kinachokusukuma kufanya kazi ni nini, pesa, huduma au hujui?
-Unataka tuzingatie soko na muda, soko la wapi? Uko uliko? Tutalizingatiaje bila ya kulijua?


Kwa ujumla hujatoa habari za kutosha kumfanya mtu anayeelewa vihusika kwa undani kukupa ushauri mzuri, seuze wasiojua lolote kuhusu hii sekta ambao ndio wengi hapa bodini.
 
-Hujasema uko wapi
-Hujasema unataka kufanya kazi wapi
-Hujasema kinachokusukuma kufanya kazi ni nini, pesa, huduma au hujui?
-Unataka tuzingatie soko na muda, soko la wapi? Uko uliko? Tutalizingatiaje bila ya kulijua?


Kwa ujumla hujatoa habari za kutosha kumfanya mtu anayeelewa vihusika kwa undani kukupa ushauri mzuri, seuze wasiojua lolote kuhusu hii sekta ambao ndio wengi hapa bodini.

Mkuu sipo Tanzania ila nina mpango wa kurudi pindi nikimaliza!Kwa hiyo soko langu ni Bongo ila kinachonitisha hii miaka saba mzee naona kama nazeeka ukizingatia nataka kupanda hadi ma pHD.Niendelee na MD au nichukue DS.Upi ni uamuzi wa busara.(Nikitaja nchi nitakuwa kama nimetaja jina nielewe hivyo)
 
Kwani wakati unaanza hukulijua hilo??
Ulienda huko kusoma kitu gani,MD a DS au kitu kingine tofauti??
Ulienda ukijua utasoma kwa muda gani??
Kama huna majibu ya maswali hayo basi ushauri ni huu
"Huo muda usikutishe kabisa maana kama utachukua MD hata hautajua jinsi muda utakavyokuwa unaenda.Na kama utarudi Bongo basi chukua hiyo MD,DS haina dili Bongo ukilinganisha na MD,na nina hakika hata hapo ulipo na sehemu yeyote ile DS haiwezi kuipiku MD,so acha haraka soma taratibu tu utafika"
Na nakukumbusha kuwa TZ watu wa MD na DS huwa wanaanza pamoja then wana-separate njiani.
 
Kwani wakati unaanza hukulijua hilo??
Ulienda huko kusoma kitu gani,MD a DS au kitu kingine tofauti??
Ulienda ukijua utasoma kwa muda gani??
Kama huna majibu ya maswali hayo basi ushauri ni huu
"Huo muda usikutishe kabisa maana kama utachukua MD hata hautajua jinsi muda utakavyokuwa unaenda.Na kama utarudi Bongo basi chukua hiyo MD,DS haina dili Bongo ukilinganisha na MD,na nina hakika hata hapo ulipo na sehemu yeyote ile DS haiwezi kuipiku MD,so acha haraka soma taratibu tu utafika"
Na nakukumbusha kuwa TZ watu wa MD na DS huwa wanaanza pamoja then wana-separate njiani.

Nimekupata mkuu!
 
Nimemaliza mwaka wa kwanza medicine ila ninaweza chagua kuendelea mwaka wa pili na Medicine au Dental Surgery.MD ni miaka saba na Dental Surgery ni miaka 5(Sio Tanzania tafadhali).Naombeni ushauri;niendelee na Medicine au nirukie Dental Surgery mwaka wa pili?Izingatiwe soko,muda na mengineyo.(Nakumbusha hii haiwezekani Tanzania ila inawezekana nilipo mimi kutokana na mfumo wa elimu wa huku)

Kama kuna option ya tiba asilia (traditional medicine ) nakushauri uichangamkie mzee yaani hapa bongo utakula vichwa mpaka uchoke, ukizingatia na mwakani kuna uchaguzi!!!!!........... utakuwa milionea si unajua tena !!~!!!!! mambo yetu yaleeeeeee... ingawa wewe utayafanya kitaalamu zaidi. mwaenzio wateja mpaka nawakimbia ni wengi mnoooo
 
Last edited:
Mkuu hiyo miaka isikuogopeshe,kwa kila kitu MD ni bomba kuliko DDS.Kama una mpango wa kurudi bongo,MD should be the choice.Angalia usije kujuta!
 
soma MD mdogo wangu miaka sio hoja we soma.

kingine uwe na unafanya maamuzi sahihi mapema swali hili huwa wanauluza wale wanao apply,

soma tu.
 
Back
Top Bottom