Mzee Mwafrika
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 203
- 104
Nimemaliza mwaka wa kwanza medicine ila ninaweza chagua kuendelea mwaka wa pili na Medicine au Dental Surgery.MD ni miaka saba na Dental Surgery ni miaka 5(Sio Tanzania tafadhali).Naombeni ushauri;niendelee na Medicine au nirukie Dental Surgery mwaka wa pili?Izingatiwe soko,muda na mengineyo.(Nakumbusha hii haiwezekani Tanzania ila inawezekana nilipo mimi kutokana na mfumo wa elimu wa huku)