Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walinzi anao wakutosha,niwataje wachache.Wengi tunafahamu mgombea wa CCM ameweza kuwafikia watanzania wengi kwa kutumia usafiri wa gari.
Ni ukweli usiopingika kuwa kuna changamoto kubwa kutumia gari kupita katika vijiji na miji yote.
Ni ukweli usio na shaka kuwa kuna wanaoombea apate ajali iwe ya kimazingira au kimazingara.
Ukweli huo usipuuzwe na CCM ichukue hatua kwa kuongeza ulinzi kwa rais mtarajiwa ikiwa ni pamoja na timu ya mafundi watakaokuwa wanalikaguwa gari la mgombea kila mara.
All in All Jembe la vita lisiwe na wasiwasi na liendelee na kazi tu!
ha
Hivi nyie CCM midomo yeni haichoki kuibua vitu vya uongo uongo tu?
hivi bado hamjagundua kuwa tumewachoka? mnadhani ni lowassa ndo msababisha yote haya niwaambie UKWELI maneno na maombi ya watanzania kuwa Mungu tubadilishie huu uongozi uliojaa RUSHWA NA UFISADI na kuthibitisha haya ni jinsi mnavyotumia MABILIONI YA PESA ILI MBAKI IKULU...
JAMANI CCM TUMEWACHOKA HATUWATAKI KABISA
Lowassaaaaaaaaaaaaaaaamabadilikoooooooooooooooo
na kikombe cha babu wa Samunge!ulinzi sitiari amepata kwa wazee wa chato
Yaani siku ya kupiga kura nitafika kituoni saa 10 usiku. Naenda na mke wangu na vitegemezi vyangu vyote! Na bahati nzuri wote ni team ukawa. Lazima CCM waondoke. Hamna namna
Wengi tunafahamu mgombea wa CCM ameweza kuwafikia watanzania wengi kwa kutumia usafiri wa gari.
Ni ukweli usiopingika kuwa kuna changamoto kubwa kutumia gari kupita katika vijiji na miji yote.
Ni ukweli usio na shaka kuwa kuna wanaoombea apate ajali iwe ya kimazingira au kimazingara.
Ukweli huo usipuuzwe na CCM ichukue hatua kwa kuongeza ulinzi kwa rais mtarajiwa ikiwa ni pamoja na timu ya mafundi watakaokuwa wanalikaguwa gari la mgombea kila mara.
All in All Jembe la vita lisiwe na wasiwasi na liendelee na kazi tu!
Pia,sina,muda wa kusoma insha yako kujua umeandika nn. Lowassa lowassa lowassa. Mengine badae utaongea akishaenda ikulu