Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,229
Habari wanamichezo.
Kwa miaka ya hivi karibuni tangu kurejea kwa michuano hii ya F.A. Tanzania bara, nimeiona haina tija kwa soka la Tanzania bara sana imekaa kufaidisha kikundi cha watu wachache.
Sababu kubwa inayonifanya niamini hii michuano ipo "kimchongo" zaidi ni upangaji wa droo wa mechi hizi, umekua upangaji wa "kimkakati" zaidi kuliko uhalisia.
Hivyo napendekeza michuano hii ifutwe kwasababu kubwa moja, anakua anatafutwa Bingwa ambaye anajiweza kiuchumi ambaye atawakilisha taifa katika michuano ya vilabu Afrika hivyo kupelekea droo ipangwe kwa tahadhari ya kuziondoa mapema timu ndogo (dhaifu kiuchumi).
Kwa miaka ya hivi karibuni tangu kurejea kwa michuano hii ya F.A. Tanzania bara, nimeiona haina tija kwa soka la Tanzania bara sana imekaa kufaidisha kikundi cha watu wachache.
Sababu kubwa inayonifanya niamini hii michuano ipo "kimchongo" zaidi ni upangaji wa droo wa mechi hizi, umekua upangaji wa "kimkakati" zaidi kuliko uhalisia.
Hivyo napendekeza michuano hii ifutwe kwasababu kubwa moja, anakua anatafutwa Bingwa ambaye anajiweza kiuchumi ambaye atawakilisha taifa katika michuano ya vilabu Afrika hivyo kupelekea droo ipangwe kwa tahadhari ya kuziondoa mapema timu ndogo (dhaifu kiuchumi).