Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kula tenissue hapa nadhani siyo mikoa hii kuongozwa kijeshi, bali inahitaji kuwa na viongozi wachapa kazi na waadilifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula tenissue hapa nadhani siyo mikoa hii kuongozwa kijeshi, bali inahitaji kuwa na viongozi wachapa kazi na waadilifu
Imagine!Wanajeshi wenyewe kama akina Denis urio?
Nadhani Ni Kati ya watu wenye matumizi mabaya ya fedha za umma. Umeshawahi kuona hesani zao zikiwa audited? Jiulize.Hivi uliwaona wapi wakila rushwa?
Hivi Moshi nayo ni mkoa ?Mikoa kama Kagera, Kigoma, Mara, Arusha, Moshi, Mbeya, Rukwa, Ruvuma, Mtwara nk iongozwe kijeshi na itangazwe kuwa ni mikoa ya kijeshi, Mikoa hiyo kama kutakuwa na ulinzi wa kutosha wenye uadilifu kutoka kwa wanajeshi wetu.
Tunaweza kukusanya kodi na kufanya biashara kikamilifu, lakini pia kuzuia wahamiaji haramu, na biashara za magendo.
Pesa nyingi nchi hii inapoteza kwa kutokulinda ipasavyo mipaka ya nchi ni uchochoro wa wahamiaji haramu na biashara za magendo, kwa kiasi kikubwa zimeshamiri kutokana na ukweli kwamba jeshi la polisi na jeshi la uhamiaji hawajaweza kusimamia kikamilifu hii mikoa kuzuia mambo yote hayo.
Kwahyo ni bora wapewe wanajeshi kwa ajili ya kuhakikisha hakuna cha wahamiaji haramu wanaoingia nchi mwetu na hakuna cha biashara za magendo
Pia ufanyike msako mkali wa kuondoa raia wa kigeni ambao kiukweli wameshamiri sana katika mikoa ya mipakani haswa Kigoma na Kagera.
Hii mikoa ukitembelea unaweza kusema upo Burundi au Rwanda katika watu kumi watu wanne ni raia wa kigeni ambao wanaishi Tanzania kama wenyeji kabisa,
Hapa ndio unaweza kuona hii nchi ni shamba la bibi wengine ni viongozi kabisa wa kuchaguliwa au kuteuliwa very sad
We jamaa mjinga sana [emoji23][emoji23][emoji23] Acha kuchafua watuUnamjua Shimbo wewe?