Ushauri: Mikoa yote Tanzania inayopakana na nchi nyingine iongozwe kijeshi

Hivi Moshi nayo ni mkoa ?
 
Corruption kila mahali ipo unaishi wapi?
Yale mabasi yalikuwa yanatekwa umeyasahau eti
Hata Ulaya wizi upo sana
Umesikia police wa UK wameiba evidence ya unga na hela walizozishika
Africa ndio usiseme hao unaowasema wamejaa wanalipa rushwa kuwepo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…