Shozylin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 341
- 699
Wasalaaam ndugu Wana jf
Sjui ni kwangu tu au na kwako ipo hivi yaani kuna kiwango flani Cha pesa kukivuka kinakua na vizuizi vingi Sana mwisho wa siku unajikuta unacheza mule mule tu, sjui shida hua ni Nini.?
Kwa upande wangu Mimi mwaka 2021 nilikua na milion 5 biashara iliyo nipatia hiyo pesa ni hii ya huduma za kifedha.
Visanga vikaanza:
Kuna siku nilikosea kutuma pesa kimakosa sh 600,000 skubahatisha kuokoa hata Mia,
maumivu ya kupoteza wakati hayajaisha wezi wakaja kubomoa flame na kuiba mpaka mwisho wa siku nikajikuta Nina 3.8
Nikachukua maamuzi ya kutoka eneo Hilo kwenda kutafuta changamoto mikoa mingine japo flame niliacha chini ya uangalizi wnagu ili nikiferi kule nirudi, na nikaferi kweli
Mwaka Jana mwezi wezi wa 9 nikarudi nipo hoi nimepauka kuanzia muonekano mpaka uchumi, nimepambana kujiimalisha hatimaye nimefika kiwango nilicho kua nacho awali Cha 5.ml kinatimia mwezi huu.
Nimekua mtu wa kutafakari namna ya kuvuka kiwango, mawazo mengine yanambia nifunguo biashara nyingine, ila aina ya biashara ndo sjapata kwanza ninahofu ya kupoteza hiki kidogo nilicho kusanya.
Mawazo mengine yananambia nitunze akiba tu naishia kuwaza ntatunza mpaka lini wakati nataka kutanuka ki biashara.?
Umewahi kukutana na situation Kama hii na uliivukaje.?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sjui ni kwangu tu au na kwako ipo hivi yaani kuna kiwango flani Cha pesa kukivuka kinakua na vizuizi vingi Sana mwisho wa siku unajikuta unacheza mule mule tu, sjui shida hua ni Nini.?
Kwa upande wangu Mimi mwaka 2021 nilikua na milion 5 biashara iliyo nipatia hiyo pesa ni hii ya huduma za kifedha.
Visanga vikaanza:
Kuna siku nilikosea kutuma pesa kimakosa sh 600,000 skubahatisha kuokoa hata Mia,
maumivu ya kupoteza wakati hayajaisha wezi wakaja kubomoa flame na kuiba mpaka mwisho wa siku nikajikuta Nina 3.8
Nikachukua maamuzi ya kutoka eneo Hilo kwenda kutafuta changamoto mikoa mingine japo flame niliacha chini ya uangalizi wnagu ili nikiferi kule nirudi, na nikaferi kweli
Mwaka Jana mwezi wezi wa 9 nikarudi nipo hoi nimepauka kuanzia muonekano mpaka uchumi, nimepambana kujiimalisha hatimaye nimefika kiwango nilicho kua nacho awali Cha 5.ml kinatimia mwezi huu.
Nimekua mtu wa kutafakari namna ya kuvuka kiwango, mawazo mengine yanambia nifunguo biashara nyingine, ila aina ya biashara ndo sjapata kwanza ninahofu ya kupoteza hiki kidogo nilicho kusanya.
Mawazo mengine yananambia nitunze akiba tu naishia kuwaza ntatunza mpaka lini wakati nataka kutanuka ki biashara.?
Umewahi kukutana na situation Kama hii na uliivukaje.?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app