Ushauri: Mimi mwajiriwa Serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi

Kopa af endelea na kazi wakati ukiendelea kuijenga business yako part time. Mpaka uwe na cash flow ndio uache kazi. Maana utakua umesha Pata mwajili mpya (biashara)
 
Ukishachukua mkopo uhame kabisa Ila wakikupata watakushtaki hata km una mafao. ..umevunja mkataba
 
Mkuu ama kweli vyuma vimekaza, yaani uache kazi kwa ajili ya 5 m? Shame on you dude! Lakini mmeshauri kama vyuma vimekaza wekeni grease!
 
Kwa uwelewa wangu Mimi siku izi mikopo mingi inakatiwa bima b4 ujachkua so kazi ya ile bima ndo kwene mambo km hayo,, so taasisi itafta kampuni ya bima pale ambapo mlipaji amepotea mitinii,,, ninajaribu kuwaza
 
Million tano tu ukimbie kazi kwa thread yako ulisema wewe ni engeneer tena ulisajiliwa na board sasa mbona mshahara wako utakuwa sio mbaya na kukopa million tano ni ndogo kiongozi.

Je kwenye forex ulikuwa unapiga bei gani baba maana uliisifia saana.
 
ha ha ha swali la forex akikujibi nitag... dogo anawapiga hela za mafunzo anaenda kulimia.. wajinga wanahangaika kusubiri kudownload hela wanapata stress hadi wanataka wasepe na mkopo wa bank


Million tano tu ukimbie kazi kwa thread yako ulisema wewe ni engeneer tena ulisajiliwa na board sasa mbona mshahara wako utakuwa sio mbaya na kukopa million tano ni ndogo kiongozi.

Je kwenye forex ulikuwa unapiga bei gani baba maana uliisifia saana.
 
Mzee wa Bitcoin
 
Kwa uwelewa wangu Mimi siku izi mikopo mingi inakatiwa bima b4 ujachkua so kazi ya ile bima ndo kwene mambo km hayo,, so taasisi itafta kampuni ya bima pale ambapo mlipaji amepotea mitinii,,, ninajaribu kuwaza
Bima Ina secure mkopo mkopaji akifa au akipata ulemavu wa kudumu.
Default haiko covered Na bima Na athari yake ni kwamba anaweza kuorodheshwa creditors Beaural Na atashindwa kukopa hata kwenye M Pesa
 
Sasa mbona unachukua ndogo?chukua kama 20,ongea na family yako wampelekee taarifa mwajiri kuwa umekufa. Hapo utakua umeepusha kuwekwa matangazo kwenye magazeti kuwa unatafutwa.Kila la kher maisha ya kuajiriwa magumu maana mshahara wote unaishia hukohuko hazina
 
Kwa mtindo huo hata ukitapeli benk ufanye biashara hiyo hulka hutaiacha utaendelea kutapeli na mwisho utatapeliwa na hicho kidogo maana kuna waalimu wa utapeli
 
Hima fanya hivyo ila jitayarisha kuishi na kulishwa na serikali bure bila gharama yoyote.
 
Hapo hautoboi. Unajidanganya bure.
Yaani milioni tano tu, tena za mkopo zinakufanya uache kazi ya kudumu kwa kutoroka kama mwizi na mkopo wa benki ili kwenda kuziwekeza kwenye Risk business?

Kuna mamilioni ya watanzania wanatafuta kazi serikalini lakini hawapati, wanatafuta mkopo benk lakini hawapati, halafu wewe vyote hivyo viko mikononi mwako lakini unataka kuvitupa kiuhuni kisa umeota tu biashara fulani ya kubahatisha.
 
Kama umeamua mchezo huo kopa 30milion alafu yokomoea ukujuako hahahah bima itakulipia maana kila mkopo una bima wala pension yako haiusiki ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…