Ushauri: Mke kamalizia kulipa gharama ya kiwanja ambacho mume wake alikuwa anamnunulia mchepuko

Kuna mambo mengine kama hamna experience muwe mnaachana nayo ona sasa mnavyodhalilisha kizazi adimu cha wanaume...
 
Dah! Mwenyekiti hili ni bomu kabisa. Lakini hakijaharibika kitu maana sidhani kama huyo mzee anajua kua kiwanja ni cha mchepuko. Hapo kuruka kiunzi jamaa avunge aende akasaini makaratasi lakini kwa jina la mtoto wake, iwe kama kamnunulia mtoto.

Alaf apeleke document nyumbani. Wife lazma atauliza, hapo ndipo msela amwambie alikutana na kiwanja kama zali akaona anunue. Pia ajitetee kuwa hakusema kwa sabab aliona kuna mambo mengi waliopanga kufanya kama familia so this was unnecessary cost ya ghafla so akaona aishi nayo kibingwa.

Kwa wewe mwenyekiti inabidi uvunge tu mpaka shemeji aje mwenyewe, akija na siasa kwamba kiwanja ni cha mchepukk, ruka futi mia. Useme tu kua umeambiwa u co sign kama shahidi lakini huez kuhoji maana hayo ni mambo ya familia.

Mwisho wa siku kama huyo mams alihack sim ya jamaa so anajua kila kitu, everything nilichoandika ni wastage of battery life. Kimeumana nje ndani!

Mwanaume hakosei, anaghafilika!
 
Kuna wanaume wapumbavu sana hapa duniani.

Si ajabu mdogo wake au shangazi yake kule kijijini kamuomba laki Tano ya mtaji tena kwa mkopo lakini man kachomoa kasema hana pesa na maneno ya kejeli mengi.

Mpumbavu huyo mwache achapiwe.

Usione huyo binti kakaa kimya ni kwamba ameamua kugawa uroda bure.

Na mke wako huenda kataarifiwa kila kitu na sasa wanalipiza kisasi
 
Hizi mada za michepuko zimekua nyingi mno.

Hii ni kwa sababu ndio jambo ambalo jamii kwa sasa inalifanya kwa kiasi kikubwa.

Nimezaliwa na kukulia kijiji moshi huko, niliwahi kushuhudia wazee kama wanne hivi wakiwa na wake wawili, kama ijulikanayo kule dini ya ukristo wa katoliki imeshamiri sana, wale wazee walikua wametengwa na kanisa kwa sababu hiyo.

Pamoja na kutengwa lakini walikua wamejenga nyumba kwa kila mwanamke na kwa kiasi chake wale wakina mama walikua wanaupendano.

Ni miaka mingi kidogo tokea nitoke huko lakini mpaka leo hii wale wazee wapo na wake zao wapo na hapo wako around miaka 80 mpaka 90 ila mmoja alishafatiki.

Kwetu kama jamii ya leo inaonekana ni kubwa na mke mwingine ni dhambi isio ya kawaida, hali hao wanawake walio olewa wa kwanza hawatimizi majukumu yao kwa ukamilifu.

Binafsi babu yangu alizaliwa kwa mke wa 3. So siku nikiona kuna ulazima wa kua na mke mwingine sita kua na mjadala na mtu maadam tu natimiza wajibu wangu kama baba.
 
🤣 🤣 🤣 🤣
 

Ni nahisi huo ni mchepuko wa jamaa/na wewe unakula kwa pembeni.
 
Jamaa sidhan km Ni sms au WhatsApp.
Kuna mtu kachoma picha Zima Maana HAIWEZEKANI ile namba ya mzee wa kiwanja kaipata wapi?[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…