Ushauri Mkubwa niliopata leo wa Kununua Gari. Hili ndo gari litakalikufaa.

Ushauri Mkubwa niliopata leo wa Kununua Gari. Hili ndo gari litakalikufaa.

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hii gari haina complications kabisa kwa maelezo ya mtaalamu mmoja mwenye uzoefu wa hii gari kwa miaka mingi.

Anasema hii gari akienda kufanya service ya engine oil. Huwa hahangaiki kuulizia oil gani n.k. anasema ni oil ambayo kwa siku hiyo itapatikana hapo garage ndo itawekwa na kagari wala hakana tatizo nayo.

Hapo tena ni mpaka miaka kadhaa akija kumbushwa na mafundi kuwa sasa abadili oil ndo anabadili. Anasema ni kagari ambako unaweka mafuta kituo chochote hata kama yamechanganyika kidogo na ...katapiga chafya mbili tatu then katakubaliana na hali yako.

Kuhusu spares anasema zipo nyingi tu na sometimes ni kuangalia kama size yake ina fit na kufunga. Basi ikikubali na kenyewe kanakubaliana nayo. Pia kanakubali barabara karibia zote ili mradi kaweze tu kupita basi.

Haka kagari TOYOTA VITZ old model ndo Kagari kanakofaa kwa mazingira ya Kitanzania.
 
Hii gari haina complications kabisa kwa maelezo ya mtaalamu mmoja mwenye uzoefu wa hii gari kwa miaka mingi.

Anasema hii gari akienda kufanya service ya engine oil. Huwa hahangaiki kuulizia oil gani n.k. anasema ni oil ambayo kwa siku hiyo itapatikana hapo garage ndo itawekwa na kagari wala hakana tatizo nayo.

Hapo tena ni mpaka miaka kadhaa akija kumbushwa na mafundi kuwa sasa abadili oil ndo anabadili. Anasema ni kagari ambako unaweka mafuta kituo chochote hata kama yamechanganyika kidogo na ...katapiga chafya mbili tatu then katakubaliana na hali yako.

Kuhusu spares anasema zipo nyingi tu na sometimes ni kuangalia kama size yake ina fit na kufunga. Basi ikikubali na kenyewe kanakubaliana nayo. Pia kanakubali barabara karibia zote ili mradi kaweze tu kupita basi.

Haka kagari TOYOTA VITZ ndo Kagari kanakofaa kwa mazingira ya Kitanzania.
TOYOTA Vitz F DBA-KSP130 hii usijaribu maneno ya fundi nyundo


BM051127_3b5b40.jpg
 
Hii gari haina complications kabisa kwa maelezo ya mtaalamu mmoja mwenye uzoefu wa hii gari kwa miaka mingi.

Anasema hii gari akienda kufanya service ya engine oil. Huwa hahangaiki kuulizia oil gani n.k. anasema ni oil ambayo kwa siku hiyo itapatikana hapo garage ndo itawekwa na kagari wala hakana tatizo nayo.

Hapo tena ni mpaka miaka kadhaa akija kumbushwa na mafundi kuwa sasa abadili oil ndo anabadili. Anasema ni kagari ambako unaweka mafuta kituo chochote hata kama yamechanganyika kidogo na ...katapiga chafya mbili tatu then katakubaliana na hali yako.

Kuhusu spares anasema zipo nyingi tu na sometimes ni kuangalia kama size yake ina fit na kufunga. Basi ikikubali na kenyewe kanakubaliana nayo. Pia kanakubali barabara karibia zote ili mradi kaweze tu kupita basi.

Haka kagari TOYOTA VITZ ndo Kagari kanakofaa kwa mazingira ya Kitanzania.
Pitia na hapa

Cvt gear box problem
 
Akili za kimasikini hizi, usitegemee kuwa billionaire katika maisha yako kwa akili hizi.

Unaweza ukafikiri ubahili unafanya kuwa tajiri kama ingekuwa hivyo same ingejaa mabilionea!
Tumia pesa ikuzoee ndo mtaji wa utajiri.
Dah....mkuu.....kila mmoja ana vitu vyake vya umuhimu zaidi....kutokana na mahitaji yake....na mazingira yake.... Kama mtu anaweza kuishi miezi 9 bila kuvuka salenda, Faya au Sentro mbona baiskeli tu inatosha 🤣🤣🤣🤣
 
VITZ unaijua ww ? Unasema yenye engine gani code gani?
Apate Yenye engine ya 1kr kama hajadata akaaanza KUONGEA mwenyewe barabarani ,bro asiishi kwa kukariri kwa kushikilia JINA tu hata amini kijicho
 
Apate Yenye engine ya 1kr kama hajadata akaaanza KUONGEA mwenyewe barabarani ,bro asiishi kwa kukariri kwa kushikilia JINA tu hata amini kijicho
Yeye akiona boby ya vits tu anajua zote zina sifa sawa! Kazi ipo
 
Dah....mkuu.....kila mmoja ana vitu vyake vya umuhimu zaidi....kutokana na mahitaji yake....na mazingira yake.... Kama mtu anaweza kuishi miezi 9 bila kuvuka salenda, Faya au Sentro mbona baiskeli tu inatosha 🤣🤣🤣🤣
Achana naye huyo hajielewi. Angekuwa anajielewa angeelewa hata mtoa mada anamaanisha nini.
 
Akili za kimasikini hizi, usitegemee kuwa billionaire katika maisha yako kwa akili hizi.

Unaweza ukafikiri ubahili unafanya kuwa tajiri kama ingekuwa hivyo same ingejaa mabilionea!
Tumia pesa ikuzoee ndo mtaji wa utajiri.
😂😂😂
Umetisha..
Ila hujasema unapendekeza ipi?
 
Back
Top Bottom