Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Nina rafiki ambaye jana kufunguka kile alichokuwa anapitia kwenye mahusiano yake, ana mwanamke ambaye anaishi naye huu mwaka wa pili sasa ila mambo yamebadilika tangu mwezi November mwaka jana; mwanamke anaumwa magonjwa ambayo hospitali hayaonekani, anakosa hamu ya kula, kapungua uzito, hedhi yake imekua irregular sana, usiku halali vizuri anaona kama pumzi inambana.
Mpaka sasa vimepimwa vipimo vingi na ugonjwa hauonekani (kuanzia kuangalia matatizo ya tezi mpaka cholesterol).
Jamaa yangu anakaribia kuchanganyikiwa
Mpaka sasa vimepimwa vipimo vingi na ugonjwa hauonekani (kuanzia kuangalia matatizo ya tezi mpaka cholesterol).
Jamaa yangu anakaribia kuchanganyikiwa