Ushauri: Mpenzi wangu akifika kileleni wakati wa tendo ni tatizo

Ushauri: Mpenzi wangu akifika kileleni wakati wa tendo ni tatizo

marahaa1

Member
Joined
Sep 1, 2016
Posts
68
Reaction score
98
Kwa wajuzi nisaidieni,

Mpenzi wangu kila akifika kileleni basi ni balaa anajisikia kichefu chefu tumbo linauma, anadai linakaza mno na pia anajisikia kuchoka kuliko kawaida, inafikia hatua tunahairisha kazi.

Hili tatizo sio siku moja, yani ni kila siku tukikutana kimwili

Naombeni wajuzi mnijuze,kama ni tatizo au sio na nifanye nini ili kuliepuka, maana nampenda sana mpenzi wangu.
 
Kwa wajuzi nisaidieni
mpenzi wangu kila akifika kileleni basi ni balaa anajisikia kichefu chefu tumbo linauma ,anadai linakaza mno na pia anajisikia kuchoka kuliko kawaida,inafikia hatua tunahairisha kazi
Hili tatizo sio siku moja,ysni ni kils siku tukikutana kimwili
Naombeni wajuzi mnijuze,kama ni tatizo au sio na nifanye nini ili kuliepuka,maana nampenda sana mpenzi angu....
Ni kweli,na mimi ilitokea sana kwa X wife wangu ila yeye alikuwa baada ya tendo anawashwa pia na maniii

Alikuwa anafurahia mwanzo tu ila baadae anasikia kichechefu kabisa na hataki tena,

Ikawa bora niwahi mimi faster kabla yake,laa sivyo usiku kucha mzungu wa 4.
 
Ni kweli,na mimi ilitokea sana kwa X wife wangu ila yeye alikuwa baada ya tendo anawashwa pia na maniii

Alikuwa anafurahia mwanzo tu ila baadae anasikia kichechefu kabisa na hataki tena,

Ikawa bora niwahi mimi faster kabla yake,laa sivyo usiku kucha mzungu wa 4.
pole jamniiiiiiiiiiiiiiii
 
Huko sio kileleni Fazaa
Unajuaa maana ya KIleleni?
Usikutee unamkunjaa kama Judo, unamuumiza mtoto wa watu na hatimaee kupata maumivu ya tumbo afu yale makelele ya kulalamika unasema Kileleni!!!??
 
  • Thanks
Reactions: MC7
ana tatizo ambalo anahisi akikwambia utamuacha, hivi huyo hana mimba?
 
Huko sio kileleni Fazaa
Unajuaa maana ya KIleleni?
Usikutee unamkunjaa kama Judo, unamuumiza mtoto wa watu na hatimaee kupata maumivu ya tumbo afu yale makelele ya kulalamika unasema Kileleni!!!??
Haahahà
 
Kuna mmoja alifika kileleni alikuwa amekalia juu alinikata vibao kama sita hivi mpk leo sikio langu la kulia limekuwa kama limeingia maji wakati wa kuogelea ukitembea linalia ndi ndi ndi
 
Nikwelii mimi ilikuwa natapika au napata hedhi mapema
 
Nakumbuka 2007 nipo na binti lodge, nimepiga game demu alipofika mshindo nikaona macho yamegeuka, akaanza kurukaruka kama kuku aliyekatwa kichwa nikajua demu anakata roho , kumbe bibie ndio ilikuwa mara ya kwanza kufika mshindo aiseeh ilibidi niachane na yule binti maana niliona ipo siku atanifia,,,, huwezi amini mpaka sasa huyo demu hana mume ikitokea mtu kamkubalia akisha lala nae akijua hilo tatizo humkimbia imebidi aishi single for the rest of her life,,,, ila kwa ushauri bora mkamuone daktari tu hakuna namna....
 
Back
Top Bottom