MM Togolani,Nijibu swali lako ndugu lukonge :
Nilichorekebisha ndicho sahihi. Nadhani hujasoma vizuri nilichoandika kwenye uzi wangu. Kuna maelezo ya kutosha juu ya ushauri wa kitaalamu na unaotolewa na WHO ya nani anahitajika kutumia barakoa kama kinga na kwa nini. Nimekuwekea na link.
Uko sawa kuhusu ushauri wa kuzivaa. Ila kwa sasa ushauri sahihi ni kuzitazama kama tiba ya kisaikolojia kuliko msisitizo wa kinga maana hakuna uthibitisho.
Wataalamu wanaoshauri mass masking (uvaaji wa watu wengi/wote) hawashauri kutumia medical masks. Maana ni gharama isiyo lazima. Hata ushauri wa CDC wameshauri watu kuvaa non-medical masks. Wanashauri improvisation kutumia hata vitambaa vya kawaida. Nimeona wengine wamependekeza hijabu hapa.
Kama mask inamkinga daktari basi inaweza kumkinga raia pia.
Ni commonsense tu huhitaji publication kwenye scientific journal kuliona hilo.
Kama mimi ni asymptomatic lakini nina virusi vya Korona bila kujijua tukakutana na wewe kwenye daladala tukakaa karibu karibu kisha nikapiga chafya, kama umevaa mask utanusurika, kama hujavaa mask utaupata
Ni logic simple tu, wala huhitaji research kujua kuwa leo ni jumamosi, it is just a fact!
Reason kubwa kwa nini Asia imeweza kucontain hii kitu haraka na damage kuwa minimal ni kwa sababu ya combination ya measures huku Kuvaa mask kwa kila mtu kukiplay major role
MM Togilani,
Kwanza angalia paragraph aliyoizungumzia Pascal na wewe ukasema unafanya masahihisho. Maana yeye alichukulia mfano wa WHO na wataalamu wa afya kushauri pale kunapokuwa na suspect/mgonjwa pamoja na mtoa huduma wavae mask ili kujikinga na maambukizi kati yao. Sasa marekebisho yako yanalenga kupinga hilo, je ni sawa?
Pili, umapozungumzia effectiveness ya N95 na unasema ni gharama unalinganisha na nini?
Ina maana ni bora kutaokutumia N95 mask kwenye jamii hata kwa ku-subsidize cost yake, ila tusubiri janga ili tutibie wagonjwa na mambo mengine yote gharama zake zitakuwa chini zaidi?
lukonge ninashawishika hujanielewa na hujaelewa muktadha wa nilichomjibu Pascal.
Kwenye makala yangu nilikua nimekosea neno nililokusudia kuandika kwenye para aliyoinukuu. Alipo-comment na nikajua katafsiri kwa muktadha wa kosa kwamba zina kinga (katika ujumla wake) na akanukuu nilichoandika, ndio nikaona kosa na kumwambia nilikosea na nimerekebisha. Shida hapo iko wapi? Kwa nini unahangaika na nilichomjibu Pascal badala ya kusoma uchambuzi na kusema kosa lilipo? Ukisoma mada unaona inapingana na huo ushauri?
Pili, ili kuthibitisha practibaility ya ushauri wako, unaweza kutueleza angalau nchi moja duniani ambayo wananchi wake wote wamevaa au wanavaa N95? Unaweza ukatupa uchambuzi wa gharama zake kwa nchi nzima kwa muda wote ambapo tutakua na maambukizi ? Na mbona unaziongelea kwa uzito as if umethibitisha kuzivaa ndio kinga? Kama kuzivaa pekee ndio kinga, madaktari wanaofariki wakihudumia wagonjwa inakuwaje wakati wamevaa N95?
Kama umeshafanya kazi ya ushauri elekezi (consultancy) utakua unafahamu wazi kwamba hatukimbilii tu kuoa ushauri wa solution kwa kuwa inafanya kazi. Tunatazama factors nyingi kama vile ni practicability ya solution, gharama, hasara, sustainability, context, alternatives, etc.
MM
China, Taiwan, Singapore na Japan raia wake wote walivaa masks na zimesaidia sana
Serikali kama inaogopa kuwa hakuna stock ya kutosha ya mask iwe wazi tu kuwa wenye nazo wavae, wasionazo wafuate taratibu nyingine mbali mbali za kuminimize chance za kuambukizwa, lakini isidiscourage mask wakati zimeinusuru Asia na wazungu wameanza kukiri sasa kuwa Asians walikuwa sahihi kwa watu wao wote kuvaa mask
Mimi nilitegemea tuone statistics. Sio list ya nchi. Statistics zinasemaje?China, Taiwan, Singapore na Japan raia wake wote walivaa masks na zimesaidia sana
View attachment 1408832
Mimi nilitegemea tuone statistics. Sio list ya nchi. Statistics zinasemaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
China, Taiwan, Singapore na Japan raia wake wote walivaa masks na zimesaidia sana
View attachment 1408832
Statistcs gani unazozitaka?, za idadi ya watu waliokuwa wanavaa masks huko katika nchi za Asia au unataka nini haswa?
Statistcs gani unazozitaka?, za idadi ya watu waliokuwa wanavaa masks huko katika nchi za Asia au unataka nini haswa?
Statistcs gani unazozitaka?, za idadi ya watu waliokuwa wanavaa masks huko katika nchi za Asia au unataka nini haswa?
Nchi nyingine inayosemekana imefanikiwa kudhibiti kwa kuvaa masks ni Czechia. Data zao hizi hapa. Naomba nisaidie kuelewa ni kwa jinsi gani hii graph inaonesha kudhibiti maambukizi kwa kuvaa masks. Mimi nikitizama naona an increasing number of cases from day one. Kama masks zinawakinga kwa kuwa wanavaa nchi nzima, kwa nini cases zinaongezeka kila siku?
View attachment 1408898
Kwa sehemu uko sahihi kaka kwenye analysis yako. Shida kubwa tu ni kutoa conclusion kwamba kilichosaidia ni masks.Tazama idadi ya waliopata huo Ugonjwa katika nchi za Asia kulinganisha na Ulaya na Marekani nchi ambazo hazivai hizo mask na pia uone RATE OF INCREASE ni wapi kubwa zaidi.
Laiti Asians wasingevaa masks hizo graphs zako zisingesoma few thousands katika maambukizi
kwa upande wa Asia zingekuwa kubwa sana at par na Ulaya na America au more kwa sababu ulianzia huko na walikuwa wa kwanza kudivise strategy ya kupambana nao
Hizo graph zako hujazipa right interpretation, ile kuonyesha graph kukua ni kitu cha kawaida maana cases zinaongezeka ila cha msingi angalia RATE OF GROWTH YA HIZO CURVE
Kwa sehemu uko sahihi kaka kwenye analysis yako. Shida kubwa tu ni kutoa conclusion kwamba kilichosaidia ni masks.
Tunajua hawa watu wanetumia combination of measures. They have been doing almost everything that seems to make sense kama kinga. Hivyo sioni usahihi wa ku-single out one factor or variable halafu ukatoa conlusion kwamba ndio imefanya kazi. Kwa mfano S.Korea walianza kuweka kila anayeingia karantini siku nyingi; wanatrace movementa za watu kwa simu zao; etc.
China kuwarejea data zao inahitaji ujasiri maana dunia nzima inajua how much wamekua wakindanganya kuhusu ukubwa wa tatizo from day one.
Ila cha pili cha kutazama unapolinganisha na Ulaya, ni vema kuitazama Covid-19 katika upana wake na factors zinazochangia vifo na mambukizi.
Tatu, ni lazima ujue rate ya kupima kwenye nchi ili uongelee kupungua kwa cases. Nchi nyingi hazipimi isipokua wale tu wanaozidiwa na kutafuta tiba. Kwa mfano UK ingekua inapima kila mtu, huenda ingekua na idadi sana na au kuzidi USA. Hivyo badala ya kusema new cases zinapungua, statement sahihi ingekua new critical cases zinapungua.
Sijatafsiri graphs zangu vibaya. Sema sijatafsiri kwa maana uliyomaniisha wewe. Kama ni rate ya new cases..yes wanapungua. Lakini kama nilivyosema kunahitaji kufahamu zaidi hizi ni cases zipi..kila mtu aliyeathirika au critical cases.
Ngoja nibandike graphs ambazo ndizo ulimaanisha wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tazama idadi ya waliopata huo Ugonjwa katika nchi za Asia kulinganisha na Ulaya na Marekani nchi ambazo hazivai hizo mask na pia uone RATE OF INCREASE ni wapi kubwa zaidi.
Laiti Asians wasingevaa masks hizo graphs zako zisingesoma few thousands katika maambukizi
kwa upande wa Asia zingekuwa kubwa sana at par na Ulaya na America au more kwa sababu ulianzia huko na walikuwa wa kwanza kudivise strategy ya kupambana nao
Hizo graph zako hujazipa right interpretation, ile kuonyesha graph kukua ni kitu cha kawaida maana cases zinaongezeka ila cha msingi angalia RATE OF GROWTH YA HIZO CURVE