Kwa sehemu uko sahihi kaka kwenye analysis yako. Shida kubwa tu ni kutoa conclusion kwamba kilichosaidia ni masks.
Tunajua hawa watu wanetumia combination of measures. They have been doing almost everything that seems to make sense kama kinga. Hivyo sioni usahihi wa ku-single out one factor or variable halafu ukatoa conlusion kwamba ndio imefanya kazi. Kwa mfano S.Korea walianza kuweka kila anayeingia karantini siku nyingi; wanatrace movementa za watu kwa simu zao; etc.
China kuwarejea data zao inahitaji ujasiri maana dunia nzima inajua how much wamekua wakindanganya kuhusu ukubwa wa tatizo from day one.
Ila cha pili cha kutazama unapolinganisha na Ulaya, ni vema kuitazama Covid-19 katika upana wake na factors zinazochangia vifo na mambukizi.
Tatu, ni lazima ujue rate ya kupima kwenye nchi ili uongelee kupungua kwa cases. Nchi nyingi hazipimi isipokua wale tu wanaozidiwa na kutafuta tiba. Kwa mfano UK ingekua inapima kila mtu, huenda ingekua na idadi sana na au kuzidi USA. Hivyo badala ya kusema new cases zinapungua, statement sahihi ingekua new critical cases zinapungua.
Sijatafsiri graphs zangu vibaya. Sema sijatafsiri kwa maana uliyomaniisha wewe. Kama ni rate ya new cases..yes wanapungua. Lakini kama nilivyosema kunahitaji kufahamu zaidi hizi ni cases zipi..kila mtu aliyeathirika au critical cases.
Ngoja nibandike graphs ambazo ndizo ulimaanisha wewe.
Sent using
Jamii Forums mobile app