Ushauri - mtaji wa laki moja

Ushauri - mtaji wa laki moja

Mnyakyusa Ipinda

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2020
Posts
439
Reaction score
1,526
Wakuu habari za wakati huu, i hope mko wazima wa afya na mlio dhaifu basi Mungu awatie nguvu.

Niende direct kwenye hoja yangu. Nimekua very broke kwa kipindi cha miezi michache tangu kibarua changu kipeperushwe na issue ya Corona, sasa nimepata kamtaji ka laki moja ninako hapa. Nahitajo ushauri ndugu hasa kwa wazoefu wa biashara za mitaji midogo. Niwe muwazi sijawahi kufanya biashara ndogo ndogo, ila usijari kuhussu strength zangu, ninaweza kufanya kikamiliu, alimradi inaniingizia vichenji chenji its fine kwangu.

Manake hali si hali mtaani, hapa nina madogo wawili wa kike wanantegemea na wako chuo natakiwa niwalipie ada before end of December, sijakata tamaa bado najua Mungu yupo pamoja na mimi, basi mwenye wazo zuri linalofaa kuanza hata kesho basi karibu kwa maoni yako.

Pia naosha magari jamani, kama una magari nyumbani kwako au kwenye ofisi yako basi unaweza kuniungisha mdogo wenu nakuja nakuoshea gari yako, naipiga polish, wax kwa pesa kidogo tu.

Nakaribisha michango yenu wadau katika utaftaji.
 
Kwa sasa ili hela izunguke haraka nenda kanunue nanasi pale Buguruni kwa bei ya jumla unaweza pata kwa jero jero ukatafue sehemu yenye pita pita ya watu wengi umwage unaweza ingiza faida ya haraka
 
Wakuu habari za wakati huu, i hope mko wazima wa afya na mlio dhaifu basi Mungu awatie nguvu.

Niende direct kwenye hoja yangu. Nimekua very broke kwa kipindi cha miezi michache tangu kibarua changu kipeperushwe na issue ya Corona, sasa nimepata kamtaji ka laki moja ninako hapa. Nahitajo ushauri ndugu hasa kwa wazoefu wa biashara za mitaji midogo. Niwe muwazi sijawahi kufanya biashara ndogo ndogo, ila usijari kuhussu strength zangu, ninaweza kufanya kikamiliu, alimradi inaniingizia vichenji chenji its fine kwangu.

Manake hali si hali mtaani, hapa nina madogo wawili wa kike wanantegemea na wako chuo natakiwa niwalipie ada before end of December, sijakata tamaa bado najua Mungu yupo pamoja na mimi, basi mwenye wazo zuri linalofaa kuanza hata kesho basi karibu kwa maoni yako. Pia naosha magari jamani, kama una magari nyumbani kwako au kwenye ofisi yako basi unaweza kuniungisha mdogo wenu nakuja nakuoshea gari yako, naipiga polish, wax kwa pesa kidogo tu.

Nakaribisha michango yenu wadau katika utaftaji.
kakaa,

kuna dili la kuuza nyana ya kuku, kurost

mahitaji
1: eneo lenye watu wengi ambayo biasha hyo haipo!

2. Nunua jiko la mkaa (20000 pamoja na mkaa)
3. sijui uko wap!!!! anaza na kuku wa 20000/=
4. mafuta ya 15000
5. meza ya kuuziaa
6. additional cost 20000

juma 75000

ila angalia jinsi wanavyoandaa, hyo biashara ina faida sana baada ya mwezi ROI utaanza ku-realize!
 
kakaa,

kuna dili la kuuza nyana ya kuku, kurost

mahitaji
1: eneo lenye watu wengi ambayo biasha hyo haipo!

2. Nunua jiko la mkaa (20000 pamoja na mkaa)
3. sijui uko wap!!!! anaza na kuku wa 20000/=
4. mafuta ya 15000
5. meza ya kuuziaa
6. additional cost 20000

juma 75000

ila angalia jinsi wanavyoandaa, hyo biashara ina faida sana baada ya mwezi ROI utaanza ku-realize!
Na hii unafanya jioni tu! au kwanzia saa tisaa, zingatia usafi
 
Nunua matunda mbali mbali then unayamenya unaweza mchanganyiko ndizi,nanasi, tikiti n.k unauza kuanzia 1000 sahani moja ya matunda
 
kakaa,

kuna dili la kuuza nyana ya kuku, kurost

mahitaji
1: eneo lenye watu wengi ambayo biasha hyo haipo!

2. Nunua jiko la mkaa (20000 pamoja na mkaa)
3. sijui uko wap!!!! anaza na kuku wa 20000/=
4. mafuta ya 15000
5. meza ya kuuziaa
6. additional cost 20000

juma 75000

ila angalia jinsi wanavyoandaa, hyo biashara ina faida sana baada ya mwezi ROI utaanza ku-realize!
Wazo zuri ndugu. Ni wapi wanafanya hii kesho nikasurvey faster nipate info mbili tatu mkuu
 
Chukua tsh 50,000 anza kubet mpira wa miguu kila jumamosi na jumapili tu jitahidi ufikishe 2 odds kwa kila jmos na jumapili, ambapo kama ukiweza kupatia jumapili 4 na jumamos 4 za mwezi utavuna faida ya sh lak 4.

Odd ya 2 kwa jumamos na jpili hupatikana kirahis kuliko kwa siku za kati ya wiki. Ukipata tamaa ya kubet odd kubwa ili upate hela nyingi prob ya ushindi inakuwa ndogo.
 
Chukua tsh 50,000 anza kubet mpira wa miguu kila jumamosi na jumapili tu jitahidi ufikishe 2 odds kwa kila jmos na jumapili, ambapo kama ukiweza kupatia jumapili 4 na jumamos 4 za mwezi utavuna faida ya sh lak 4. Odd ya 2 kwa jumamos na jpili hupatikana kirahis kuliko kwa siku za kati ya wiki. Ukipata tamaa ya kubet odd kubwa ili upate hela nyingi prob ya ushindi inakuwa ndogo.
Ivii hii shughuli inalipa?
 
Chukua tsh 50,000 anza kubet mpira wa miguu kila jumamosi na jumapili tu jitahidi ufikishe 2 odds kwa kila jmos na jumapili, ambapo kama ukiweza kupatia jumapili 4 na jumamos 4 za mwezi utavuna faida ya sh lak 4. Odd ya 2 kwa jumamos na jpili hupatikana kirahis kuliko kwa siku za kati ya wiki. Ukipata tamaa ya kubet odd kubwa ili upate hela nyingi prob ya ushindi inakuwa ndogo.
Thanks sana boss, sijawahi kubet ndo tatizo langu, yani sijawahi hata kujaribu ndugu hivyo inakua sio rahisi kidogo unless niwe na mtu mzoefu
 
Ivii hii shughuli inalipa?
Kama unazifaham timu za ushindi mf. Ac milan, rb salzburg, lask linz, bodo, molde na timu za kufungwa tu basi kila wk utapiga hela. Ukiweka tamaa utachana tu mikeka.
 
Thanks sana boss, sijawahi kubet ndo tatizo langu, yani sijawahi hata kujaribu ndugu hivyo inakua sio rahisi kidogo unless niwe na mtu mzoefu
Asilimia 90 ya watu wanaopenda na kujua mpira ama michezo mengine mf tennis nk wanabet. Mda mwengine uhitaj mzoef kila ikicheza simba, yanga au azam ujue kuna ushind au draw tayar unapata hela.
 
Back
Top Bottom