PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,102
- 1,919
Yupo anaendelea na mazoezi ila mpaka sasa hawezi kujitegemea,hawezi kaa peke yake,aliugua manjano siku 2 baada ya kuzaliwa,pia alizaliwa kwa shida kidogo maana hakulia moja kwa moja,kiakili yupo vzr ila shida ni viungo ndo havikomai.Nisaidieni japo tiba mbadala