Ushauri: Mtoto kameza shilingi mia mbili

Pole sana, wa kwetu aliwahi kumeza coin ya 50, tulimpeleka hospitali, ilitoka kesho yake asubuhi. Wahi na wewe hospitali maana inaweza kuleta complications.
Wetu alimeza hio hamsini toka mwezi wa pili hakupelekwa sehemu yoyote !na dogo yuko poa tyu sasa cjui hako kahela kalitoka au bado kamo

acha uongo
 
Wetu alimeza hio hamsini toka mwezi wa pili hakupelekwa sehemu yoyote !na dogo yuko poa tyu sasa cjui hako kahela kalitoka au bado kamo

acha uongo
Itakuwa ilshatoka kwa njia ya haja kubwa
 
miA mbili unashtuka ivo kk ingekua buku 10 acha uoga ww

sent from aifoni seveni plasi
 
Polen sana vip hali yake sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…