Ushauri:Mtu mwenye HIV+ anahofia kufanyiwa surgery anaogopa Madakta watamnyanyapaa wasimfanyie vizuri, au wakamuua!

Ushauri:Mtu mwenye HIV+ anahofia kufanyiwa surgery anaogopa Madakta watamnyanyapaa wasimfanyie vizuri, au wakamuua!

90sgeneration

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
421
Reaction score
502
Wakuu habari zenu.

Najua kuna madr humu, nahitaji ushauri wenu, cas sijui ethics au pricedures za wataalamu wa afya nisije shauri vibaya.

kuna kijana tunafahamiana ni HIV+, japo tofauti na ndugu zake na watu wa karibu sana wengine hawajui, hata ofisini kwake hawajui.Ameomba ushauri, ameniambia anatakiwa afanyiwe surgery sababu alipata tatizo flani akalazwa.

Sasa amenambia anaogopa sana sababu madr hio hospital anayoenda kufanyiwa surgery lazima watampima kwanza damu yake, sababu ni surgery kubwa, anahofu sana kwamba maybe,wakiona ni hiv+ wataogopa kumgusa asije waambukiza, wanaweza fanya kwa uoga na harakaharaka ovyo ovyo tu afe nk.Hebu madr mtuambie, mtu akiwa hiv+ anaweza kufanyiwa surgery vizuri tu bila shida? au afanyeje before surgery?
 
Wakuu habari zenu.

Najua kuna madr humu, nahitaji ushauri wenu, cas sijui ethics au pricedures za wataalamu wa afya nisije shauri vibaya.

kuna kijana tunafahamiana ni HIV+, japo tofauti na ndugu zake na watu wa karibu sana wengine hawajui, hata ofisini kwake hawajui.Ameomba ushauri, ameniambia anatakiwa afanyiwe surgery sababu alipata tatizo flani akalazwa.

Sasa amenambia anaogopa sana sababu madr hio hospital anayoenda kufanyiwa surgery lazima watampima kwanza damu yake, sababu ni surgery kubwa, anahofu sana kwamba maybe,wakiona ni hiv+ wataogopa kumgusa asije waambukiza, wanaweza fanya kwa uoga na harakaharaka ovyo ovyo tu afe nk.Hebu madr mtuambie, mtu akiwa hiv+ anaweza kufanyiwa surgery vizuri tu bila shida? au afanyeje before surgery?
Anafanyiwa upasuaji wa nini ?
Relax hamna kitu Cha namna hiyo ,nenda na Imani utafanyiwa upasuaji kadri ya uwezo na miongozo ya kitabibu pasina kubaguliwa .

Pole ,amandla
 
Watamua kwa kosa lipi?? 🤔 🤔.

Kwani hao Madaktari watakaofanya hiyo kazi, nani amesema hawana HIV +Ve miongoni mwao??
yes, pia nimemwambia hivo, pia wao ni binadamu wanaeza kua nao ni hiv+ kama yeye, asante mkuu, wacha nimuoneshe maoni aone mwenyewe asipate hofu
 
Wakuu habari zenu.

Najua kuna madr humu, nahitaji ushauri wenu, cas sijui ethics au pricedures za wataalamu wa afya nisije shauri vibaya.

kuna kijana tunafahamiana ni HIV+, japo tofauti na ndugu zake na watu wa karibu sana wengine hawajui, hata ofisini kwake hawajui.Ameomba ushauri, ameniambia anatakiwa afanyiwe surgery sababu alipata tatizo flani akalazwa.

Sasa amenambia anaogopa sana sababu madr hio hospital anayoenda kufanyiwa surgery lazima watampima kwanza damu yake, sababu ni surgery kubwa, anahofu sana kwamba maybe,wakiona ni hiv+ wataogopa kumgusa asije waambukiza, wanaweza fanya kwa uoga na harakaharaka ovyo ovyo tu afe nk.Hebu madr mtuambie, mtu akiwa hiv+ anaweza kufanyiwa surgery vizuri tu bila shida? au afanyeje before surgery?
Hakuna kitu kama hicho labda kama hawakusomea udaktari, kunakuwa na 0 to minimum contact kati ya mwili wa dr na wa mgonjwa kwenye operation, hakunaga risk ya namna hiyo kwenye operation
 
Awe na amani kabisa ,akitoka mwambie Kama hajaoa akiitaji kuoa mtu wa status yake ,nitakuwepo kumpatia mtu wa status yake .

Karibu
ooh asante, tena hajaoa, japo ana mtoto alizaaga 2018 na yupo -ve, hua anatamani kuoa ila anahisi hawezi pata mtu ataekubali status yake, atakutafuta
 
yes, pia nimemwambia hivo, pia wao ni binadamu wanaeza kua nao ni hiv+ kama yeye, asante mkuu, wacha nimuoneshe maoni aone mwenyewe asipate hofu
Naam, Kila kifo kina chanzo chake,
1. Maslahi/siasa
2. Mapenzi
3. Visasi/uzembe
4. Magonjwa/ajali

Tofauti na hapo ni ngumu sana binadamu kupoteza uhai.
 
Kama ni HIV +ve anatakiwa awajulishe madaktari kabla ya operation, kwamba yeye ni positive, japo waga wanapima hayo yote kabla ya operation.
Pia Ma-doctor hawana shida na hilo, wanajua wenyewe namna ya kunikìnga.
 
Back
Top Bottom