Ushauri muhimu: Serikali izime kabisa mtandao wa twitter, unatumika vibaya kipindi hiki tunapopambana na Covid 19

Ushauri muhimu: Serikali izime kabisa mtandao wa twitter, unatumika vibaya kipindi hiki tunapopambana na Covid 19

We ni mjinga na haujui lolote kuhusu VPN. VPN haziwezi kufungiwa mbuzi wewe, kama China na U.S.A wameshinwa kudhibiti matumizi ya VPN vipi Chatoland ndo mtaweza ?
Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.

Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.

Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.

Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.

Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.

My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumike kupotosha na kuzua uongo.
 
Mungu hawezi kuwa nanyi ambao ni:

1.Vibaka wa wizi wa kura.

2.Watu wasiopenda kujishughulisha na kupambana na Corona.

3.Watekaji.

4.Wauaji.

5.Wagandamizaji wa uhuru wa kujieleza.

6.Wagandamizaji wa demokrasia.

7.Wauaji wa uchumi wa nchi.

8.Waongo.

9.Waonevu.

10.Populist.
Corona ilishakuua wewe au ndugu yako?
 
Kuna upotoshaji mbaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili na kusababisha taharuki kwa watanzania.

Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.

Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.

Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithili ya wingu zito.

Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.

My opinion; TCRA wafungieni Twitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumike kupotosha na kuzua uongo.
Hujafiwa wewe. Si wengine Corona imepukutisha ndugu zetu kinoma. Since January to date nimezika ndugu zangu sita including baba yangu mzazi
 
Hujafiwa wewe. Si wengine Corona imepukutisha ndugu zetu kinoma. Since January to date nimezika ndugu zangu sita including baba yangu mzazi
Tuwekee vyeti vya kifo kuthibitisha ndugu zako wamekufa kwa Covid 19.
 
Mpaka natamani nikutukane, ila huyu Mungu aliyeruhusu janga hili kulamba ndugu zangu, na afanye pia kwako na kwa jamaa zako. Ehh Mungu sikia dua hiii, Amina.
Wewe utakuwa mchawi, mlozi mkubwa.
 
yaani ilikua nikiingia twitter najihisi kuanza kuumwa, ilifikia kipindi nika-uninstall app ya twitter kwenye simu kuepuka ujinga ambao upo kule..

Naunga mkono hoja.
 
Kwa taarifa yako ni kuwa ile ban iliyokuwepo haipo kwa sasa kuna watu wanaipata twitter bila VPN na pia Jiwe na Msigwa si wana account twitter ! nao wazifunge au?
 
Pole Sana na famlia yako, may her soul rest in peace

Kwakwel nkskia issue ya COVD 19 vs
kibnge nakosa raha kabsa.
Rafiki kama wewe ni bonge jilinde sana,halafu Corona ipo zaidi maeneo ya mahospitalini kuliko maeneo mengine yoyote yale.
 
Back
Top Bottom