Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shdia, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,

Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.

Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,

Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.

Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,

Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.

Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.

Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!
Hizi ndizo akili za wanawake
 
Acha tamaa, wanawake kama nyie mbingu mtaisikia tuu bombani, kweli mume wa ndoa mtoto mmoja na hawara watoto 3 khaaaah!!!
 
Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shdia, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,

Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.

Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,

Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.

Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,

Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.

Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.

Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!
Tamaa mbele,Mauti nyuma! Gunia mbili za mkaa zinakuhusu,wwe endelea na huo ujinga wako! Na ukute hata yule Mtoto mmoja anaekwenda kurithi hizo Mali siyo Mtoto wake halisi! Wanawake mnajuwa kuyakoroga,lakini kuyanywa mnaogopa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu

Uchu wa Mali unakutoa mate. Pia inaonekana wewe ni mwanamke wa ivyo Sana. Unazidi kutupa SoMo wanaume. Wewe una uhakika gani ukipewa hizo Mali utaishi nazo miaka mingapi.

Yaani inaonekana ulikuwepo kwake kisa Cha Mali hakuwa na mapenzi naye.eti mie ndie nastahihili kupata kingi. Vunja ndoa wapeleke watt kwa ndugu zake.

Yaani aisee aliyekupa naye anajua kuwa akaoa kweli mpaka machozi ujue na hasira. Kiufupi ulikuwa unajiuza na bado akitokea mwenye Mali zaidi utamzalia. Bora ungekuwa Kama akina Zali unamtafuta mwanaume unamzalia anakujengea unaachana naye. Tena unacheki mwingine.

Hao watt na huyo mme wako wa ndoa kwani una uhakika hata wewe ulizaliwa kwa njia hizohizo na ndio Mana umeendeleza mbegu kuipanda
 
Uchu wa Mali unakutoa mate. Pia inaonekana wewe ni mwanamke wa ivyo Sana. Unazidi kutupa SoMo wanaume. Wewe una uhakika gani ukipewa hizo Mali utaishi nazo miaka mingapi.
Yaani inaonekana ulikuwepo kwake kisa Cha Mali hakuwa na mapenzi naye.eti mie ndie nastahihili kupata kingi. Vunja ndoa wapeleke watt kwa ndugu zake.
Yaani aisee aliyekupa naye anajua kuwa akaoa kweli mpaka machozi ujue na hasira.
Kiufupi ulikuwa unajiuza na bado akitokea mwenye Mali zaidi utamzalia. Bora ungekuwa Kama akina Zali unamtafuta mwanaume unamzalia anakujengea unaachana naye. Tena unacheki mwingine.
Hao watt na huyo mme wako wa ndoa kwani una uhakika hata wewe ulizaliwa kwa njia hizohizo na ndio Mana umeendeleza mbegu kuipanda
Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
 
Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shdia, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,

Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.

Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,

Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.

Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,

Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.

Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.

Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!
Vitabu vyote vya dini vimekataza uzinzi na uasherati.

Unadai nini sasa, shenzy taipu. Umelokoroga ulinywe mwenyewe, pambaf.
 
Hii tabia uliichukua kwa mama yako au bibi yako? Sio kwa uzinzi huu. Haya nenda kamroge sasa huyo mke wake afe uchukue mali maana mashetani kama nyie hamkosi plan B

Na huyo dada yake mtashirikiana ila mgawane mali sio. Eti na dada yake anawajua watoto bollocks. Wewe tengeneza mbinu zako ila na Mungu kapanga yake

Unastahili kufa tu wewe maana una tamaa za kishetani sana
Huu uzi umenikera mnisamehe tu
 
Uchu wa Mali unakutoa mate. Pia inaonekana wewe ni mwanamke wa ivyo Sana. Unazidi kutupa SoMo wanaume. Wewe una uhakika gani ukipewa hizo Mali utaishi nazo miaka mingapi.
Yaani inaonekana ulikuwepo kwake kisa Cha Mali hakuwa na mapenzi naye.eti mie ndie nastahihili kupata kingi. Vunja ndoa wapeleke watt kwa ndugu zake.
Yaani aisee aliyekupa naye anajua kuwa akaoa kweli mpaka machozi ujue na hasira.
Kiufupi ulikuwa unajiuza na bado akitokea mwenye Mali zaidi utamzalia. Bora ungekuwa Kama akina Zali unamtafuta mwanaume unamzalia anakujengea unaachana naye. Tena unacheki mwingine.
Hao watt na huyo mme wako wa ndoa kwani una uhakika hata wewe ulizaliwa kwa njia hizohizo na ndio Mana umeendeleza mbegu kuipanda

Hawa adhabu yao ni kupigwa mpaka kufa shenzi kabisa
 
Unazidi kuongeza dhambi ujue....yan sijui dunia ya sasa wanawake tumekuwaje ...kubambikizia watoto ndo imekuwa deal aisee
ila hii dhambi ni kubwa mno jamani kumsingizia mtu mtoto, si bora kuitoa tu....hapana asee
 
Back
Top Bottom