othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Sasa binti kashazalishwa na aliyemzalisha amekubali kumlea ni utaratibu upi huo unaoutaka zaidi ya mzazi kutoa baraka?Maybe haukumchukua kwao kwa utaratibu... Hakuna mzazi anafurahishwa binti yake achukuliwe tu kienyeji azalishwe na aishi na mwanaume bila wao kuhusishwa na kufata taratibu za kimila au za kidini
Twende tukamteke kibabeHabari wanajamii naomba msaada wenu, miaka takribani mitano nyuma nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalipelekea kuwa mzazi wa mtoto mmoja wa kiume.
Kiuhalisia maisha hayakuwa mazuri sana ila tulikuwa na furaha na tuliishi kwa kupendana sana. Safari yetu ilikuwa nzuri kiujumla, lakini ikatiwa doa na mama mzazi wa mzazi mwenzangu kwa kumchukua mwanae kinguvu huku akinisema kwa ubaya jambo ambalo lilinikereketa vibaya kila kukicha.
Ni mwaka sasa umetamatika baada ya mimi na mzazi mwenzangu kutengana lakini imefika mahali upendo umepungua sana. Nilikuwa nimezoea kumpigia simu kujua hali ya mtoto na yeye lakini mama yake amekuwa mtu wa kuvuruga hadi mawasiliano yetu.
Imefika mahali natamani kuanza safari mpya maana nimechoka kiuhalisia maana nimejikuta namchukia sana mama mzazi wa mke wangu kutokana na tabia alizozionyesha za kumchukua mwanae kwa nguvu akiambatanisha na vitisho huku pia akidai namtesa mwanae wakati toka nimenza kuishi nae sijawahi kufanya, kuelezea kila kitu siwezi kwa haraka haraka.
Maana niliyofanyiwa mpaka naomba ushauri wenu ni mengi na yanumiza. Nimwache abaki na mama yake au nirudiane naye?
Yawezekana ikawa hivyo Kwa asilimia 99Maybe haukumchukua kwao kwa utaratibu... Hakuna mzazi anafurahishwa binti yake achukuliwe tu kienyeji azalishwe na aishi na mwanaume bila wao kuhusishwa na kufata taratibu za kimila au za kidini
Kuna vitu huyu jamaa amecha. Huyo anaemuita mke wake karidhia kurudi nyumbani ujue kulikuwa na shidaMwanamke wako hana misimamo. Kwann mzazi aseme yeye anateseka wakati muhusika hana tatizo? Au labda ni kweli unamtesa mtoto wa watu.
Kwani ulishamuoa au mlikuwa mwaishi tuu kwa kuwa mmezaa pamoja?Habari wanajamii naomba msaada wenu, miaka takribani mitano nyuma nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalipelekea kuwa mzazi wa mtoto mmoja wa kiume.
Kiuhalisia maisha hayakuwa mazuri sana ila tulikuwa na furaha na tuliishi kwa kupendana sana. Safari yetu ilikuwa nzuri kiujumla, lakini ikatiwa doa na mama mzazi wa mzazi mwenzangu kwa kumchukua mwanae kinguvu huku akinisema kwa ubaya jambo ambalo lilinikereketa vibaya kila kukicha.
Ni mwaka sasa umetamatika baada ya mimi na mzazi mwenzangu kutengana lakini imefika mahali upendo umepungua sana. Nilikuwa nimezoea kumpigia simu kujua hali ya mtoto na yeye lakini mama yake amekuwa mtu wa kuvuruga hadi mawasiliano yetu.
Imefika mahali natamani kuanza safari mpya maana nimechoka kiuhalisia maana nimejikuta namchukia sana mama mzazi wa mke wangu kutokana na tabia alizozionyesha za kumchukua mwanae kwa nguvu akiambatanisha na vitisho huku pia akidai namtesa mwanae wakati toka nimenza kuishi nae sijawahi kufanya, kuelezea kila kitu siwezi kwa haraka haraka.
Maana niliyofanyiwa mpaka naomba ushauri wenu ni mengi na yanumiza. Nimwache abaki na mama yake au nirudiane naye?
Usitafute faraja, Tafuta Pesa mkuu pia usisahau kuhudumia mtotoTaratibu zote zilifuatwa
Kuna jambo wanalificha, huyo siyo mtoto wako.Habari wanajamii naomba msaada wenu, miaka takribani mitano nyuma nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalipelekea kuwa mzazi wa mtoto mmoja wa kiume.
Kiuhalisia maisha hayakuwa mazuri sana ila tulikuwa na furaha na tuliishi kwa kupendana sana. Safari yetu ilikuwa nzuri kiujumla, lakini ikatiwa doa na mama mzazi wa mzazi mwenzangu kwa kumchukua mwanae kinguvu huku akinisema kwa ubaya jambo ambalo lilinikereketa vibaya kila kukicha.
Ni mwaka sasa umetamatika baada ya mimi na mzazi mwenzangu kutengana lakini imefika mahali upendo umepungua sana. Nilikuwa nimezoea kumpigia simu kujua hali ya mtoto na yeye lakini mama yake amekuwa mtu wa kuvuruga hadi mawasiliano yetu.
Imefika mahali natamani kuanza safari mpya maana nimechoka kiuhalisia maana nimejikuta namchukia sana mama mzazi wa mke wangu kutokana na tabia alizozionyesha za kumchukua mwanae kwa nguvu akiambatanisha na vitisho huku pia akidai namtesa mwanae wakati toka nimenza kuishi nae sijawahi kufanya, kuelezea kila kitu siwezi kwa haraka haraka.
Maana niliyofanyiwa mpaka naomba ushauri wenu ni mengi na yanumiza. Nimwache abaki na mama yake au nirudiane naye?
Oa mwanamke mwingine ili siku akirudi akute una mke ila huyo mwanamke utakae muoa mwambie ukweli una mtoto nje. Akitaka kubaki mwambie hapa huna chako kabaki na mama yako.Habari wanajamii naomba msaada wenu, miaka takribani mitano nyuma nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalipelekea kuwa mzazi wa mtoto mmoja wa kiume.
Kiuhalisia maisha hayakuwa mazuri sana ila tulikuwa na furaha na tuliishi kwa kupendana sana. Safari yetu ilikuwa nzuri kiujumla, lakini ikatiwa doa na mama mzazi wa mzazi mwenzangu kwa kumchukua mwanae kinguvu huku akinisema kwa ubaya jambo ambalo lilinikereketa vibaya kila kukicha.
Ni mwaka sasa umetamatika baada ya mimi na mzazi mwenzangu kutengana lakini imefika mahali upendo umepungua sana. Nilikuwa nimezoea kumpigia simu kujua hali ya mtoto na yeye lakini mama yake amekuwa mtu wa kuvuruga hadi mawasiliano yetu.
Imefika mahali natamani kuanza safari mpya maana nimechoka kiuhalisia maana nimejikuta namchukia sana mama mzazi wa mke wangu kutokana na tabia alizozionyesha za kumchukua mwanae kwa nguvu akiambatanisha na vitisho huku pia akidai namtesa mwanae wakati toka nimenza kuishi nae sijawahi kufanya, kuelezea kila kitu siwezi kwa haraka haraka.
Maana niliyofanyiwa mpaka naomba ushauri wenu ni mengi na yanumiza. Nimwache abaki na mama yake au nirudiane naye?