mtumbagrade1
Member
- Sep 10, 2020
- 71
- 67
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa langu nnLike serious umekosa chakufanya? umekuja kuomba ushauri Bro! Binadamu wabaya sana[emoji26]
Kuna mwanamke nilikuwa nae kwenye mahusiano ni mtu ambae alinipenda na mm nilimpenda sana , kuna kipindi niliumwa sana kama miezi mitatu alipambania uhai wangu hadi dakika ya mwisho maana ilikuwa nusu nife...
Kama ndugu walishiriki kupambania katika kipindi hicho lipa fadhila kwa mpatia mtaji au kwakumtafutia Sehemu ya kufanyia kazi badala ya hapo ila kama hawakushiriki watajua hawajui endelea naekuna kipindi niliumwa sana kama miezi mitatu alipambania uhai wangu hadi dakika ya mwisho maana ilikuwa nusu nife.
Mkuu, unafundishwa roho mbaya ukubwani? Hebu muache afanye kazi.Kuna mwanamke nilikuwa nae kwenye mahusiano ni mtu ambae alinipenda na mm nilimpenda sana, kuna kipindi niliumwa sana kama miezi mitatu alipambania uhai wangu hadi dakika ya mwisho maana ilikuwa nusu nife...
Hukutakiwa hata kuomba ushauri kama kweli una utu na fadhiraKosa langu nn
Niliona hata kuendelea kumjibu ni makosaHukutakiwa hata kuomba ushauri kama kweli una utu na fadhira
Huyo jamaa kanikera sanaYaan unamuacha mtu aliekupigania kisa ndugu? Hv uanaume wako uko wapi, labda ungeachana nae kisa sabab nyingine, lkn eti ndugu mara dini.
Na ukimuachisha hio kazi utaumwa ufe unajuta sana maana Karma is a bitch
Itapendeza kama utamweka mbali na ndugu zako Kwa kumtafutia kitu kingine cha kufnya. Na ikiwezekana hata ndugu wasijue unaweza mfungulia biashara n.kKuna mwanamke nilikuwa nae kwenye mahusiano ni mtu ambae alinipenda na mm nilimpenda sana, kuna kipindi niliumwa sana kama miezi mitatu alipambania uhai wangu hadi dakika ya mwisho maana ilikuwa nusu nife...
Huyo jamaa miyeyusho sanaLike serious umekosa chakufanya? umekuja kuomba ushauri Bro! Binadamu wabaya sana😥