Ushauri na Msaada wa kwenda masomoni Marekani

fafanua hii mkuu
 
Acha nitie neno hapa. Mkuu kwanza nikupe shout out sana kwa hatua uliyofikia, nimeusoma uzi wako umenigusa sana!

Me nataka nikutie moyo keep moving! Usirudi nyuma wala kukata tamaa, nenda mbele mwanangu huwezijua labda huko ndipo yalipo mafanikio yako. Hiyo scholarship ndio link ya kupata kazi.


NB: watu wema bado wapo kwenye hii Dunia yetu na ndio hao wanaishikiria Dunia kwa Imani zao na maombi yao kwa Mungu ili asije kuiangamiza tena kwa dhambi zetu tunazokufuru kila siku, otherwise ingeshatokea kama gharika au sodoma & gomora
 
Ahsante sana Mkuu, nashukuru sana kwa ushauri wako, sitarudi nyuma abadan, ikiwa nimevumilia suluba za mashariki ya kati, Marekani sitashindwa,Mungu atakuwa nami.
 
Una akili kichwani kweli? Au kichwa kimebeba meno tu?
 
Mungu akuongoze.

Pia naomba nielekeze namna ya kuomba hizo scholarship.
Nenda Youtube kuna huyo jamaa IBM scholar kila kitu kipo hapo, weka bundle lako GB 1 tulia huko download hizo video na audio clip.

Wabongo wengi bado internet haiwasaidii kwa sababu wanatumia muda mwingi kwenye hizi site za chatting tu na umbea.
 
Mpaka hapo upo mguu mmoja ndani ya Marekani, nitasikitika sana kama utakosa viza kwa hatua hii iliyobaki ya bank statement ya mtu wa kukusponsor.

Ukiona siku zinakimbia bado haujafanikiwa kupata kampuni au mtu wa kukusponsor nitafute pm yangu iko wazi.
 
Nenda Youtube kuna huyo jamaa IBM scholar kila kitu kipo hapo, weka bundle lako GB 1 tulia huko download hizo video na audio clip.

Wabongo wengi bado internet haiwasaidii kwa sababu wanatumia muda mwingi kwenye hizi site za chatting tu na umbea.
Ahsante sana Mkuu, nimeanza kumfuatilia tangu jana, kweli kuna mambo mengi nimepata, nashukuru mno.
 
Nafurahi sana kupata watu wanaotia moyo kama wewe, ubarikiwe popote ulipo.
 
simamia lengo lako mkuu na pole kwa yaliyokukuta mimi naona Elimu ni nzuri zaidi endapo utarudi hapa kwetu Tanzania utapata kwa kushika, dini kumbuka kwamba nchi yetu haiamini masuala ya kidini kwa hiyo kutoboa ni ishu
 
umempa wazo zuri mimi nilishindwa kulitumia hili nilipopata nafasi ya kusoma Cardiff nchini UK walitaka niwe na account kutoka kwa sponsor wangu isiyopungua 25mil nikashindwa kwa kigezo hicho
 
Nenda Youtube kuna huyo jamaa IBM scholar kila kitu kipo hapo, weka bundle lako GB 1 tulia huko download hizo video na audio clip.

Wabongo wengi bado internet haiwasaidii kwa sababu wanatumia muda mwingi kwenye hizi site za chatting tu na umbea.
Kwanza jamaa anaitwa EBM na siyo IBM,jamaa huyu anaongea mambo mengi sana lakn yote ni magumu sana kwa wa Tz,anaongelea scholarship zenye masharti ya IELTS na TOEF yaani kiufupi yupo more complicated sana hana plan B kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…